Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,603
Kizuri kula na mwenzioNi mrembo anaekonga nyoyo za mabaharia humu jf kwa kuleta upinzani wa jadi wa hapa na pale😂😂😂
Si mwingine ni mSweet Marianah hebu comment kama mpenzi wake kwa huu muonekano wake.
View attachment 1160226
Angalizo:
Mabaharia msianze fujo piemu kuna mbwa mkali huko 😆😆😆
duuuh ...mbona unanisema mimi kabisaKama Hadi Muda Huu Haujaambiwa "How was Your Morning Love "
Hebu Jiambie Mwenyewe Halafu Simama Tumsifu Mwenyezi Mungu
Ni mrembo anaekonga nyoyo za mabaharia humu jf kwa kuleta upinzani wa jadi wa hapa na pale
Si mwingine ni mSweet Marianah hebu comment kama mpenzi wake kwa huu muonekano wake.
View attachment 1160226
Angalizo:
Mabaharia msianze fujo piemu kuna mbwa mkali huko
wahuni sio watu kabisa.. ila mambo mengi ya humu sio serious banaExtrovert we jamaa sikujua kua unaweza kua pumbaf hivi..... huyu dem anaitwa GISELLE LYNETTE
View attachment 1160239
Extrovert we jamaa sikujua kua unaweza kua pumbaf hivi..... huyu dem anaitwa GISELLE LYNETTE
View attachment 1160239
HallelujahKama Hadi Muda Huu Haujaambiwa "How was Your Morning Love "
Hebu Jiambie Mwenyewe Halafu Simama Tumsifu Mwenyezi Mungu
Chombo kitam hicho , basi mwanamke yyte aliye nanenane mbeya muda ajeAnaonekana sio mtamu
duuuh ...mbona unanisema mimi kabisa
Dada yangu marianah hawezi kuvaa hovyo hivyo