The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 1,876
- 5,442
Ni kweli mkuu sio wote ni malaya ila asimijia 99.9999 ni malayaNafikiri una miss concept hapa. Si kila alieko kwenye mtandao wa kijamii ni malaya
Ni kweli mkuu sio wote ni malaya ila asimijia 99.9999 ni malayaNafikiri una miss concept hapa. Si kila alieko kwenye mtandao wa kijamii ni malaya
Nilijua hii mada lazima itetewe na ke maana maana kizazi hiki masingle mothers mixa manungaiyembe mtetezi wao imekua mitandao wanaume wanaingia huko kuchakata na kusepaSema wewe nchi za wenzetu kukutana mtandaoni is mot a big deal kabisa, bongo sasa mwanamke akiwa kwenye hizo mitandao ni malaya ila mwanaume ni sawa aah
Based on what research..? Maana uliyo andika hapo no sawa na kuandika ndio au hapana at the same time.Ni kweli mkuu sio wote ni malaya ila asimijia 99.9999 ni malaya
Soma tema. Hiyo 0.00001 ndio inafanya wasiwe wote. Kati ya 10,000 basi 1 ndio sio malaya wengine 9,999 ni malaya. Sasa hapo hujaelewa nini mkuu au turudi darasa la pili kukukaririsha "na ile moja kichwani ?!"Based on what research..? Maana uliyo andika hapo no sawa na kuandika ndio au hapana at the same time.
Tunaomba utuletee habari, pindi yatakapo washinda.Ebanaa ee wanajukwaa naandika hii stori ya ukweli uku nikiwa sina majibu na siamini kama swahiba wangu wiki ijayo anaoa.
Jamaa alikuwa sana muumini wa mitandao yetu hii ya badoo, tinder na mingine, sasa katika pita pita zake akakutana na mwanamke badoo ni wa kawaida tu kimuomekano wakawa wameanza mahusiano kama mwaka sasa umepita.
Sasa juzi jamaa kaja na mualiko wangu anataka kumuoa yani amuweke ndani kabisa nikamwambia unakumbuka lakin wanawake waliopo kule wengi ni malaya sana, jamaa akanipa stori kwa kifupi sana,
Kwamba baada ya kukutana na mchumba na kuanza kuwasiliana mchumba akakili kwamba aliingia badoo ili tu ajue ni kitu gani huwa kinafanyika kule lakini pia aliingia kwa sababu ya kutangaza bidhaa zake ambazo alikuwa anauza lakini wakakubaliana kwamba wafute app wakaendelea na mahusiano,
Nimepokea mwaliko kwa heshima zote na kesho naenda chukua suti matata sana kwa ajili ya kwenda kula harusi ila moyo bado una wasiwasi kama kweli jamaa anaenda kuoa moja wa wtt tunao wachakata kila kukicha.
N.b Ya ngoshwe tumuachie ye mwenyewe, Na wengine mnipe experience yenu aisee.
Inapatikana wapi hii application. Nina ukame sanaBadoo bana yaani popote ulipo ukihitaji demu unapata unakamua. Niliwahi kwendakikazi Katavi jion katika kupumzika nikaingia badoo nikapata demu lilikua na shepu ya kinyamwezi
Kuna watu wana mioyo haswaa yani 🤣🤣 kwa zile video jinsi anakatikia ukuni tena ukiwa buza na ana enjoy kabisa duh!Tushampa habari….
Jan tangazo la ndoa.... June ndoa imevunjika oooh hallelujah!!!Mrejesho.
Ndoa imevunjika wiki iliyo pita, nilikuwa na jamaa tunachapa biaaaa, kanielezea kilicho msibu na mda ambao hajaishi kwa amani kwa iyo mjihadhali sana na aya mahusiano ya mtandaoni tuwaachie wazungu..
Hizi story za Badoo hadi nami huwa natamani kujoin nione kinachoendelea huko
Bado ujaingia mpka leoHizi story za Badoo hadi nami huwa natamani kujoin nione kinachoendelea huko
Bado, ngoja niidownload niingie nipaone make story za huko ni too muchBado ujaingia mpka leo