Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,638
- 2,720
Hivi wakuu wa JF, kwa nini mnakuwa wagumu namna hiyo kutoa likes kwenye threads za wenzenu? Au kwa vile tunatumia avatars. Sometimes unakuta thread imeenda shule na viewers kibao lakini likes ni mbili au tatu. Ingekuwa FB sasa, mtu ungekuwa na uhakia wa kulamba likes kibao! Mnawavunja moyo waandishi wa threads. Mtawafanya waone JF hailipi wahamie jukwaa jingine. yeah, si mnaona wawekezaja wakiona makampuni yao hayalipi kiivo wanauza hisa na kusepa?
Jamani, kunjueni roho basi mlike ma idea ya wenzenu. Yani roho zenu ziwe nyepesi kama Maharage ya 'Mbea'.
Jamani, kunjueni roho basi mlike ma idea ya wenzenu. Yani roho zenu ziwe nyepesi kama Maharage ya 'Mbea'.