Hiyo sio service , hiyo ni maintenance repair kaka.Juzi fundi aliniuliza mara ya mwisho kufanya service gari langu. Nikamwambia mie tangu niagize nikaanza kutembea nayo sijawahi kufanya intensive service mpaka ipate tatizo ndio naileta kwako...
Kitendo cha kuamka tuu na kuweka maji ya kawaida kwenye gar kimenisikitisha sana....kuna coolant maalum sio unaweka tu mimaj yako..we utakua unapigwa sana maana hujui gar
Unataka kuwa "A jack of all trades.........."Nayo sio mbaya
Mwenzio mwaka mpya nataka kuagiza gari mpya, but be4 this, hii miezi miwili iliyobaki nataka nikae na rafiki yangu pale NIT, anipige brush kuhusu kifaa cha gari kikiharibika, huu mtumba mpya ukiingia bongo nakuwa expert sikanyagi kwa fundi tena, zaidi ya kufungua nut na kupachika kifaa kipya
Extrovert sorry. Naomba unisaidie kukata huu ubishi hapa, nakuamini. Wewe ukisema kitu nakuelewa.
1. Huwa unatumia coolant au maji kwenye gari yako? Be honest.
2. Percentage ngapi ya wabongo wanatumia special coolant daily? Kadiria tu labda 90%, 70%, 45%
Sijakuuliza wewe!
Mi natumia maji coz hata gari za mshua home toka niko dogo nilikuwa natia maji na kucheki fluids zingine. Coolant ni mbadala wake tu na iko un-neccessarily expensive unless ununue feki ilichanganywa maji na rangi tu 😂😂😂Extrovert sorry. Naomba unisaidie kukata huu ubishi hapa, nakuamini. Wewe ukisema kitu nakuelewa.
1. Huwa unatumia coolant au maji kwenye gari yako? Be honest.
2. Percentage ngapi ya wabongo wanatumia special coolant daily? Kadiria tu labda 90%, 70%, 45%
Coolant evaporating effect iko chini kwa sababu yenyewe haichemki kirahisi kama maji hivyo iko efficient na hudumu muda mrefu ukiitumia purely bila kumix na mimaji. Kubwa zaidi ni anti-rust na hio ndio faida yake ingine.
Kwahio kutumia maji sio dhambi wala kosa maana miaka yote ya 1980's-2003 watu gari walikuwa wanazitia maji tu. Wala sio kitu cha ajabu.
Yani uzunguke masaa matatu ili uokoe elfukumi au 20?
Unaokoa 50 masaa 3 kazini kwako unapigwa laki 2 au zaidi.
Kujua sanaaa kuna leta uboya pia
Coolant haina shida mkuu, unatumia hata leo ukitaka hela yako tu.Asante bro.
Endapo nimekua nikitumia maji kwa muda mrefu kidogo. Then nikataka sasa niwe natumia coolant yenyewe, ni inawezekana. Ama ishakua too late. Itabidi nipeleke kwa fundi anisafishie radiator aondoe kutu na maji yote?
Sorry kama unafaham pia, average bei ya coolant inacheza kwenye ngapi (babywoka za Toyota).
Una usafiri aina gani kwanza maana nyie ndo mnaongoza kwa mbwembwe
Wenye magari kimya, tulii
Nayo sio mbaya
Mwenzio mwaka mpya nataka kuagiza gari mpya, but be4 this, hii miezi miwili iliyobaki nataka nikae na rafiki yangu pale NIT, anipige brush kuhusu kifaa cha gari kikiharibika, huu mtumba mpya ukiingia bongo nakuwa expert sikanyagi kwa fundi tena, zaidi ya kufungua nut na kupachika kifaa kipya
Hahaha..kijana hiv unajua why unashauriwa kutumia coolant na sio mimaj yako hyo ya kawaida..kwanza tambua maj meng ya kawaida yana chumvi.hard water so ukiwa unatumia mara kwa mara.ukungu ule wa hard water siunaujua..Extrovert sorry. Naomba unisaidie kukata huu ubishi hapa, nakuamini. Wewe ukisema kitu nakuelewa.
1. Huwa unatumia coolant au maji kwenye gari yako? Be honest.
2. Percentage ngapi ya wabongo wanatumia special coolant daily? Kadiria tu labda 90%, 70%, 45%
Kupigwa kuko pale pale na umepigwa tu, mafundi na wazuza spair ni kitu kimoja, hizo bei tayari kuna cha juu cha fundi hapo. Ndo maana unaona mara nyingi bei za ufundi zinakuwa chini ili kukuvuta siku nyingine uende, lakini kwenye spair ndo anapata faida.Juzi fundi aliniuliza mara ya mwisho kufanya service gari langu. Nikamwambia mie tangu niagize nikaanza kutembea nayo sijawahi kufanya intensive service mpaka ipate tatizo ndio naileta kwako....
Faida za coolant vs maji ya kisima/bomba/mtoni/ziwaniMi natumia maji coz hata gari za mshua home toka niko dogo nilikuwa natia maji na kucheki fluids zingine. Coolant ni mbadala wake tu na iko un-neccessarily expensive unless ununue feki ilichanganywa maji na rangi tu...
Coolant bei gani unanunua?Faida za coolant vs maji ya kisima/bomba/mtoni/ziwani
1.coolant ina dawa zinazozuia radiator isipate kutu...