Aisee... imenibidi nicopy na kupaste tu

Padri Mcharo

JF-Expert Member
Feb 28, 2015
1,899
3,671
Kuna demu hapa kitaani kwetu ilikuwaga ni mgeni

Siku moja alikuwa anatoka sokoni nikawa nimemuvizia ili nimuombe namba za simu

Demu ilinipa namba za simu tukawa tunawasiliana vizuri tu

Ikafikia muda uvumilivu ukanishinda nikamutongoza

Demu alinikubalia fresh tu ombi langu tukawa wapenzi na tukawa tunachati kipenzi penzi fulani hivi

Si unajua tena ule mzuka wa mpenzi mpya na kutishiana kuwa siku tumegegedana utanikoma tu na nilivyo na mingenye hivi na mzuka na wewe nitakugegeda mpaka ukojoe sana tu na nilivyo mutundu hivi kunako 6*6

Demu akawa na shauku kubwa kukutana na mimi kwa kuwa nimemwambia kuwa mimi ni mtundu

Siku moja jumapili fulani hivi tukapanga mtanange aje ghetto tugegedane

Demu alikuja siku hiyo ghetto akakuta mwanaume nimejipanga poa tu

Tukapiga story za hapa na pale mingenye akutushika hao chumbani

Vua demu fasta nikamuchezea kidogo huyo nikaingiza dushe

Uwiiiiiiiii!! Dakika mbili nyingi mno Wana UKAWA wakatoka fasta muda huo demu ndo mzuka umemupanda sasa anataka nionyeshe utundu wangu niliomwambiaga kabla

Aaah!! Wapi kitu chali nilipigwa kofi la kisogoni nikadondoka chini nikiwa uchi muda huo mara teke la kwenye P... Mbu aiseee nililia kama mtoto mdogo.

Tangu siku hiyo demu nikamwogopa hata kumuona au kukutana nae kitaani.
 
Hahahaha mwanamke usimchukulie wa maana sana ukiwa nae chumbani, kitendo cha kumpandisha hadhi kubwa kitakufanya uingiwe na uoga mwisho unashindwa kubanjuka Mubashara, na yeye atakudharau atakuona wa hovyo tu kumbe ma presha yako.

Jifunze kumshusha thamani na ondoa ile hali ya matamanio makubwa katika maungo yake, Hakika utakuwa mshindi kila mechi.
 
Kuna demu hapa kitaani kwetu ilikuwaga ni mgeni

Siku moja alikuwa anatoka sokoni nikawa nimemuvizia ili nimuombe namba za simu

Demu ilinipa namba za simu tukawa tunawasiliana vizuri tu

Ikafikia muda uvumilivu ukanishinda nikamutongoza

Demu alinikubalia fresh tu ombi langu tukawa wapenzi na tukawa tunachati kipenzi penzi fulani hivi

Si unajua tena ule mzuka wa mpenzi mpya na kutishiana kuwa siku tumegegedana utanikoma tu na nilivyo na mingenye hivi na mzuka na wewe nitakugegeda mpaka ukojoe sana tu na nilivyo mutundu hivi kunako 6*6

Demu akawa na shauku kubwa kukutana na mimi kwa kuwa nimemwambia kuwa mimi ni mtundu

Siku moja jumapili fulani hivi tukapanga mtanange aje ghetto tugegedane

Demu alikuja siku hiyo ghetto akakuta mwanaume nimejipanga poa tu

Tukapiga story za hapa na pale mingenye akutushika hao chumbani

Vua demu fasta nikamuchezea kidogo huyo nikaingiza dushe

Uwiiiiiiiii!! Dakika mbili nyingi mno Wana UKAWA wakatoka fasta muda huo demu ndo mzuka umemupanda sasa anataka nionyeshe utundu wangu niliomwambiaga kabla

Aaah!! Wapi kitu chali nilipigwa kofi la kisogoni nikadondoka chini nikiwa uchi muda huo mara teke la kwenye P... Mbu aiseee nililia kama mtoto mdogo.

Tangu siku hiyo demu nikamwogopa hata kumuona au kukutana nae kitaani.
Daaa hatari sana hii kitu ni shidaa, usiombe ikukute
 
Back
Top Bottom