Jamani basi jekundu limeamua kweli na sidhani kama litakwama kwani hivi sasa imeanzisha kitu cha 3·75G so sweet lets enjoy high speed internet
souce clouds
Sawa naunga mkono hoja . Ila bei zake je?
Mimi ningefurahi sana ikiwa wangepunguza bei zao, maana hata 3G inafaa sana tu kwa matumizi yetu ya kila siku.
Kiukweli watumiaji wengi sana matumizi yetu ni ya kawaida sana, tatizo letu hasa ni bei na kuyumba yumba kwa network.
Lakini pia sina hakika ni kwa nmna gani hii 3.75g itakuwa bora zaidi ya hii 3g tuliyokuwa tunahangaika nayo. Maana hata hiyo 3g si maeneo yote ya nchi yanayofikiwa na huduma hii.
Jamani basi jekundu limeamua kweli na sidhani kama litakwama kwani hivi sasa imeanzisha kitu cha 3·75G so sweet lets enjoy high speed internet
souce clouds
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.