kyatamato
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 387
- 269
Duh
!! duka limejaa.. hapa nitapata kila kitu,
Mangi: - Karibu mdogo wangu nikusaidie nini??..
Mteja.. - hiyo feni shi. ngapi??
Mangi - hiyo pangaboy sh. 55,000/-
Mteja - Panga ?!!
Mteja - na hiyo body spry
Mangi - 6500/-
Mteja- unaandika lakini???!!
Mangi - si ndo hapa naorodhesha !!!
Mteja - hee jumla sh. ngapi??
Mangi - elfu 65 na 500..
Mteja- Haa.. Mangi unaua Bendi
Mangi - kwani we umejipangaje??!!
Mteja - Bukuuu..!!
Mangi - Bukuuu..??..!!! Ndorooooboooo hiyo buku si bora ukanunue gazeti ujipepee hahaAaa
hivi wadau kuna video ya hili tangazo??? sababu me bado sijaona na kama hawajalitengeneza .. hawajanitendea haki
Mangi: - Karibu mdogo wangu nikusaidie nini??..
Mteja.. - hiyo feni shi. ngapi??
Mangi - hiyo pangaboy sh. 55,000/-
Mteja - Panga ?!!
Mteja - na hiyo body spry
Mangi - 6500/-
Mteja- unaandika lakini???!!
Mangi - si ndo hapa naorodhesha !!!
Mteja - hee jumla sh. ngapi??
Mangi - elfu 65 na 500..
Mteja- Haa.. Mangi unaua Bendi
Mangi - kwani we umejipangaje??!!
Mteja - Bukuuu..!!
Mangi - Bukuuu..??..!!! Ndorooooboooo hiyo buku si bora ukanunue gazeti ujipepee hahaAaa
hivi wadau kuna video ya hili tangazo??? sababu me bado sijaona na kama hawajalitengeneza .. hawajanitendea haki