Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Yaani hamuwezi kuamini kilichotokea juzi tarehe 26/1/2011 baada ya watu wa airtel kukomba bundle zote kwenye modem. Yaani maisha yetu yalikuwa magumu maana tulishindwa kuaccess jf. Tukakaaa hivyo hivyo sasa ndo wanaanza kurudisha taratibu. Kwa hali hii tunaanzakuwa na utata. Matokeo yake wengine walishaanza kusema ra anahusika! Sasa hivi kila chenye kuhujumu uchumi nchini ni ra.haya bwana