Airtel Waja na ZTE MF180 Modems and here is How you Unlock It!!!

Ugoro mtupu mnaongea. Nyambafu:cool2:

Mtanishauri nini mimi ambaye natumia modem ya bure kutoka Tigo.
 
Lol kajipange tena! Kama wewe unatumia Airtel na onyesha utofauti wa hiyo madai yao ya 3.75G yao kama speed yoyote imeongezeka.. Mie badaye nkrud om ntaweka snap ya speed nayo pata na Tigo ambayo ni twice as fast ya hyo Airtel na clpi ata centi.. So ucpende kulopoka v2 hauna akika nazo!

Kaka nakuheshimu sana, mbona unaniangusha lakini? Jaribu kuangalia watu wa kujibizana nao bro, that man sio wa calibre yako.
 
UNACHAKACHUA MORDEM YA AIRTEL ILI UTUMIE SIMCARD(MTANDAO) GANI YENYE KUZIDI SPEED YA AIRTEL?
UNAAMBIWA SASA HIVI AIRTEL SPEED NI 3.75G...Wewe unachakachua utumie Zantel/TIGO/VODA ambayo hata 3G yenyewe ni KWIKWI
NI UTAAHIRA AU NDIO UJANJA! WA KUJUA KUCHAKACHUA!!!!!!
SWALI: NI MTANDAO GANI BEI ZA VIFURUSHI VYAKE NI SAWA NA BURE?
JIBU=AIRTEL!!!!! haaah hapa lete trick za KUHACK SYSTEM TUTUMIE INTERNET BUREEEEE!!!
SWALI: SPEED NI MORDEM AU LAINI?
BONGO JINGA SANAAAA!

Voda wameshaanza kutumia 4G kwa baadhi ya maeneo kwa DSM , hata hivyo kubadilisha line kunategemea mengi mfano
aina ya vifurushi unavyotaka kwa wakati muafaka , eneo uliloko (unaweza kukuta ofisini TIGO inapiga
fresh ukirudi nyumbani hamna kitu ) , na hata promosheni za hapa na pale...
 
Lol kajipange tena! Kama wewe unatumia Airtel na onyesha utofauti wa hiyo madai yao ya 3.75G yao kama speed yoyote imeongezeka.. Mie badaye nkrud om ntaweka snap ya speed nayo pata na Tigo ambayo ni twice as fast ya hyo Airtel na clpi ata centi.. So ucpende kulopoka v2 hauna akika nazo!

.... why you are even talking to him. they used to say that "silence is the best answer for foolish..."
 
OK nimeona bora kurudisha hii thread... ENJOY Unlocking hizi Modem mpya za Airtel.. it takes less than a minute and ur done
 
mwenye folder file ya dc unlocker nami ani pm ninazo dowload google zinataka user name
 
inaonekana una matatizo ya akili ww 3.75G ni ***** usio na akili. Watu wana 4G huko States na wanalalamika speed. All that matters ni bandwith ambayo ISP wako anakupatia katika hyo 3.75G, Kitu ingine hata 3G yenyewe ya Airtel cwezi kutumia coz downloading speed kubwa ni 250kbps which means Speed ni 250*8=2000/2mbps. wakati katika hiyo hiyo 3G voda 2nakata mawimbi ya 520kbps ambayo ni 520*8=4160/4mbps. Hujui chochote ww.
Dah!.. Kumbe tusojua hesabu tunakosa Mengi...
 
Back
Top Bottom