Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,530
- 3,435
Ukiwa Dar es salaam kifurushi cha chuo kina dakika za maongezi na Mb za kutosha ila ukija Kanda ya ziwa unapewa ni tofauti kabisa
wasukuma mnatumia mb za nini, ?Ukiwa Dar es salaam kifurushi cha chuo kina dakika za maongezi na Mb za kutosha ila ukija Kanda ya ziwa unapewa ni tofauti kabisa
Kwa majitaji ya kabisa ya kila siku ndugu.
Hata dar ni hivyohivyo tuUkiwa Dar es salaam kifurushi cha chuo kina dakika za maongezi na Mb za kutosha ila ukija Kanda ya ziwa unapewa ni tofauti kabisa