Airtel Tanzania tatueni tatizo la Call Drops

Farm boy

Member
Sep 8, 2015
60
104
Habari Tanzania,

Ninaandika kuwafikia Airtel Tanzania technical team. Kumekuwa na tatizo la kimtandao kwa muda sasa. Simu sikipigwa zinakatika tu, (calls drop). Tunaomba mtutatulie ttzo hilo ili tuendelee kufurahia huduma zenu.

Ahsanteni
 
Airtel walikuwa wanafanya janja janja kuishi baada ya kuuishi uhalisia wamekuwa watu wa hovyo! Nilituma hela nikiwa kwenye basi isaka nakuja dar mpaka nafika dar sijapokea sms na nliemtumia hajapokea hela, tangu wauze minara wamekuwa washenzi kupita kiasi! Internet yao kwa sasa kufika speed ya 1mbs/sec ni vigumu mno!
Wajitafakari
 
Airtel walikuwa wanafanya janja janja kuishi baada ya kuuishi uhalisia wamekuwa watu wa hovyo! Nilituma hela nikiwa kwenye basi isaka nakuja dar mpaka nafika dar sijapokea sms na nliemtumia hajapokea hela, tangu wauze minara wamekuwa washenzi kupita kiasi! Internet yao kwa sasa kufika speed ya 1mbs/sec ni vigumu mno!
Wajitafakari
Gari uliosafiri nalo lilikuwa linatembea kwa spidi kubwa kuliko data za Airtel. Imagine umemtumia wife anunua msosi unafika na yenyewe ndio inaingia :cool: :cool:
 
Habari Tanzania,

Ninaandika kuwafikia Airtel Tanzania technical team. Kumekuwa na tatizo la kimtandao kwa muda sasa. Simu sikipigwa zinakatika tu, (calls drop). Tunaomba mtutatulie ttzo hilo ili tuendelee kufurahia huduma zenu.

Ahsanteni
Mkuu upo eneo gani unapopata hii call drop?
Je unaipata ukiwa kwenye 2G or 3G network?
Jaribu ku lock simu yako kwa 2G only kisha utest. Then 3G only kisha u test.
Hii itawafanya Airtel kuelewa eneo na tatizo.
Na itakuwa rahisi kushghulika nalo pia.
Mimi pia ni mdau wa mawasiliano ingawa sipo Airtel
 
Back
Top Bottom