Am a customer of Airtel modems. I bought one after seeing the advert that the modems cost 30,000/=tshs and have free internet for six months only to realise that the advert is far from the truth. I have to recharge the modem time and again like the other usual modems. Wana jamii Tanzania inachezewa sana. Hawa airtel ni wezi kama wezi wa madini. Wanaahidi mrahaba kwa vijiji vinavyozunguka halafu hawatoi mrahaba huo. Mwenzenu nimenunua modem yao kati ya hizo wanazotangaza lakini haina hiyo internet ya bure. Nilipowauliza wakaniambia inabidi uweke vocha ya shilingi elfu 6, nikaweka hakuna kitu. Nikawapigia customer care yao wakaniambia modem yako haijaunganishwa na internet, wakanishauri niweke vocha japo ya shilingi mia tano ili waniunganishe, nikaweka hamna kitu. Kwa sasa naitumia modem hiyo kama zile za zamani kabla ya hili tangazo yaani kila inapoisha vocha naichaji. Huu sio wizi kwa Watanzania? Tunanyanyasika hivi mpka lini ndugu zangu nchi yetu wenyewe? Saidia wana jamii forum mawazo yenu.