luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Wanasema bando yako. Jamani watalam wa Kiswahili . Je ni sahihi kusema bando yako? Mimi nafikiri sahihi ni kusema Bando lako.
View attachment 1575801
Wanasema Bando yako. Jaman watalam wa Kiswahili je ni sahihi kusema bando yako ? ..mi nafikiri sahihi ni kusema Bando lako
tena bajombaAtakuwa mhindi huyu
Ndio shida ya kuwapa wahindi kilaView attachment 1575801
Wanasema bando yako. Jamani watalam wa Kiswahili . Je ni sahihi kusema bando yako? Mimi nafikiri sahihi ni kusema Bando lako.
Umeereweka = UmeelewekaKikubwa ujumbe umeereweka. Hayo mengine hayana maana yoyote
kwa taarifa yako wahindi wana kipaji cha hali ya juu masuala ya IT duniani.Asilimia 70 ya wafanyakazi wa Billgate ni wahindiNdio shida ya kuwapa wahindi kila
Kazi, hadi kazi ndogo ndogo za IT wanapewa wahindi. Sasa ‘muda’ wanaandika ‘mda’, bogus
tena bajomba
UmeelewekaKikubwa ujumbe umeereweka. Hayo mengine hayana maana yoyote
Na wewe ndio walewale ndio maana unaona wako sawa. 'Umeereweka' ndio niniKikubwa ujumbe umeereweka. Hayo mengine hayana maana yoyote
Kwani wewe umeeRewa..!?Kikubwa ujumbe umeereweka. Hayo mengine hayana maana yoyote
Faiza ukuje huku. Watu wanavuruga lugha yetu. Kikubwa Ujumbe umeeleweka.Kikubwa ujumbe umeereweka. Hayo mengine hayana maana yoyote
nilikuwa sijui ahsante.Hivi na sisi watanzania tunasifiki kwa kipaji kipiUnawafahamu wa Turkey wewe? Kwenye masuala ya IT hao wahindi hawafui dafu kwa waturuki..
Ndio shida ya kuwapa wahindi kila
Kazi, hadi kazi ndogo ndogo za IT wanapewa wahindi. Sasa ‘muda’ wanaandika ‘mda’, bogus