Airtel ni wakati wa kuiachia TTCL iwe huru

WAPOMA

JF-Expert Member
Dec 1, 2012
689
175
Habari nilizozipata toka kwa mnyetishaji muhimu wizarani, sasa AIRTEL wamekubali kimsingi kuiachia 35% ambayo ni hisa alizokuwa anamiliki ndani ya TTCL.

Wameinyonya kampuni ya simu ya Watanzania kwa muda mrefu sana, Zitto ni muhimu mikataba yote ya kuuza TTCL tangu muda huo ichunguzwe!

Ilikuwaje Celtel iliyokuwa inamilikiwa na TTCL 100% ikahamia CEltel international, Na kuanza kubadilishwa majina mara MSI,ZAIN na sasa AIRTEL.Hakika mmeinyonya TTCL kiasi cha kutosha ni wakati wenu wa kuondoka sasa.
 
El Toro
View Profile View Forum Posts Private Message Add as Contact 6th August 2012 18:44 #1 JF Senior Expert Member
Array
Join Date : 10th January 2009
Location : Here in Bongoland
Posts : 5,161Rep Power : 1960Likes Received:517
Likes Given:411 Corruption SCANDALS at TTCL
Wakuu nimeipata hii toka reliable source pale TTCL natumai ni wakati muufaka hili shirika nalo limulikwe;



•During Privatization TTCL had 280billion for the mobile network establishment; but untill today such funds are no where to be traced
•A number of dubious suppliers from HUAWEI were paid for during SASKTEL management for things that were never supplied
•CELTEL was formed as a subsidiary of TTCL but how the shareholder changed later and sold to ZAIN then AIRTEL no body knows??
•SIM2000 was formed as the TTCL assets manager and was responsible for upgrade of the services. A number of properties were sold such as plots, houses, towers etc with money not accounted for
•ALLAN COMMUNICATION as one of the local service providers getting paid for non-existence services; CFO/CTO are part of the system
•Theft via payroll was being done between 2006 and 2011; a number of Ex-MP'S are part of the scheme. CITIBANK has not been cooperative with investigaters in the process; and no body from TTCL is pushing for the investigation to complete
•PRICILLA CHILIPWELI who once acted as CTO is alleged to have been receiving pay cut from Mobile providers and this was confirmed by the banks. This has connection to the subrtage of the Internet and Telephone for the benefit of these providers. Some Engineers are part of the scheme
•CAG has all these information but no action taken, no report provided
•Zitto KABWE was handling the evidence but decided to stay away from it after being corrupted

Nawakilisha

Fonted Red!! My God
 
Mwaka huu hadi unaisha kuingia mwaka ujao nao tutakuwa na series za kutosha za movie mpya ya ESCROW.
Tulieni Director Zitto afanye yake
 
Kwenye hii issue ya ttcl serikari ya awamu ya tatu na Prof. Mwandosya wanahusika sana
 
Huyu Pricilla Chilipweli kumbe ni fisadi kiasi hicho. TAKUKURU wamfuatilie waanzie hapo.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom