rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,967
- 3,189
Kwema wandugu:
kilio changu leo nawapa airtel money Tanzania, kwanini muamala wa mteja unachukua mda mrefu kurudishiwa.
1. Mara mseme mpaka mteja apokee simu muongee nae ndo muweze kurudishwa ina maana kama mteja amefariki muhusika hawezi rudishiwa pesa yake.
2. Tuna omba majibu au ndo mnatupia fixed account yan laki tano yangu ina week sasa bado hamjarudisha.
kilio changu leo nawapa airtel money Tanzania, kwanini muamala wa mteja unachukua mda mrefu kurudishiwa.
1. Mara mseme mpaka mteja apokee simu muongee nae ndo muweze kurudishwa ina maana kama mteja amefariki muhusika hawezi rudishiwa pesa yake.
2. Tuna omba majibu au ndo mnatupia fixed account yan laki tano yangu ina week sasa bado hamjarudisha.