Watakuwa wamejisahau mkuuNdugu zetu airte money, mbona mpaka leo hii hamjaweka commission za mwisho wa mwezi wa 12...shida nn???? Kimya sana mnatupa maswali mengi sisi mawakala.
Kweli ndo nataka na mm nifungue huduma ya kifedha mkui naweza ukanipa budget plan ili niandae kiasi ganiKama n hivyo they're not serious.
Kwa ufupi ishi za uwakala inahitaji location nzuri kwa nia ya kuwa na wateja wakuweka na kutoa wengi....cha 2 mtaji kama wa 2m ili wateja wakuweka na toa pesa wasikose cash na float zen mzunguko wa transaction ukiwa mkubwa ndio commission yako mwisho wa mwezi ina kuwa nyingi and viseversa is true.Kweli ndo nataka na mm nifungue huduma ya kifedha mkui naweza ukanipa budget plan ili niandae kiasi gani
Naomba gharama za line zote na usajili mkuuKwa ufupi ishi za uwakala inahitaji location nzuri kwa nia ya kuwa na wateja wakuweka na kutoa wengi....cha 2 mtaji kama wa 2m ili wateja wakuweka na toa pesa wasikose cash na float zen mzunguko wa transaction ukiwa mkubwa ndio commission yako mwisho wa mwezi ina kuwa nyingi and viseversa is true.
Tin namba ninayo bado lesen tuGharama n kutafuta Tin number halmashauri na leseni ya biashara TRA. Zen unawafata company husika kwa nia ya kukutengenezea lain ya uwakala.
Tugawane mkuu teheJaman tunashukuru ujumbe umefika na wahusika wameweka mzigo mda huu.