lolypop
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,430
- 1,681
Airtel mna nini lakini? Mbona huduma zenu zipo down sana kiasi mnasababisha usumbufu mkubwa.
Naomba nitoe dukuduku langu na kama kuna muhusika hapa anisaidie.
Tumefanya muamala Ijumaa asubuhi saa 12 (20/12/2019) kutoa pesa Airtel kwenda Vodacom ajabu pesa imekwama hewani haijafika kwa mlengwa wa voda na huku airtel wameshakata Pesa.
Tukapiga simu wakasema pesa ipo AMBIGO tusubiri saa 72 yaani siku 3.
Tumesubiri kuanzia iIumaa mpaka leo Jumatatu pesa haijarudi wala haijaenda Vodacom.
Tukawapigia tena tukajibiwa twende shop ya airtel iliyopo karibu tumekwenda majibu tuliyopewa ni tusubiri saa 24 tena.
HII PESA NI YAKULIPA REJESHO, BANK WANANIONA MSUMBUFU SILIPI KWA WAKATI NA DENI LINAPANDA NAPIGWA FAINI ZA KUCHELEWESHA REJESHO.
Airtel rudisheni hiyo pesa na muwe wawazi kwamba tumia Airtel Money for your own risk
Naomba nitoe dukuduku langu na kama kuna muhusika hapa anisaidie.
Tumefanya muamala Ijumaa asubuhi saa 12 (20/12/2019) kutoa pesa Airtel kwenda Vodacom ajabu pesa imekwama hewani haijafika kwa mlengwa wa voda na huku airtel wameshakata Pesa.
Tukapiga simu wakasema pesa ipo AMBIGO tusubiri saa 72 yaani siku 3.
Tumesubiri kuanzia iIumaa mpaka leo Jumatatu pesa haijarudi wala haijaenda Vodacom.
Tukawapigia tena tukajibiwa twende shop ya airtel iliyopo karibu tumekwenda majibu tuliyopewa ni tusubiri saa 24 tena.
HII PESA NI YAKULIPA REJESHO, BANK WANANIONA MSUMBUFU SILIPI KWA WAKATI NA DENI LINAPANDA NAPIGWA FAINI ZA KUCHELEWESHA REJESHO.
Airtel rudisheni hiyo pesa na muwe wawazi kwamba tumia Airtel Money for your own risk