believer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2012
- 633
- 213
Nimenunua bando ya Airtel ya Tsh 2,000 kwa ajili ya intaneti ya 3 GB, ndani ya dakika 10, wametuma msg bando imeisha, what a prank, 3GB in less than 10 minutes na hakukua na suala la sijui updates, sijui kumuunga mtu na tethering nk nk.
Hivi vitu vidogo vidogo ndiyo vinavyoleta matatizo makubwa makubwa.
Huu si uharamia huu, 3GB unaambiwa ndani ya dakika 10 na hata ndani ya dakika hizo 10 sijaweza ku access nilichukua nataka kufanya.
Hivi vitu vidogo vidogo ndiyo vinavyoleta matatizo makubwa makubwa.
Huu si uharamia huu, 3GB unaambiwa ndani ya dakika 10 na hata ndani ya dakika hizo 10 sijaweza ku access nilichukua nataka kufanya.