Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
Kama maigizo sasa maana watanzania tunazidi kuumizwa na hii mitandao, sasa airtel wamepandisha vifurushi vyao vya internet, kiukweli wameniumiza hawa jamaa.
Mimi nilizoea kununua cha wiki cha 1GB kwa elfu 2000, ila kuanzia jana wamekipandisha mpaka 1GB kwa elfu 3000.
Kiukweli tunaomba hao VEiTEL waanze tu nasi tuwakate hawa airtel.
Maana nasikia hawa vietel unawapa line ya simu na wao wanakupa simu bure ya kisasa na line mpya yenye salio.
Nakusubiri kwa hamu veitel maana tumechoka kunyonywa uku TCRA wamekaa kimya tu! Hawawezi hata kukontroo bei ya hawa matapeli?
Mimi nilizoea kununua cha wiki cha 1GB kwa elfu 2000, ila kuanzia jana wamekipandisha mpaka 1GB kwa elfu 3000.
Kiukweli tunaomba hao VEiTEL waanze tu nasi tuwakate hawa airtel.
Maana nasikia hawa vietel unawapa line ya simu na wao wanakupa simu bure ya kisasa na line mpya yenye salio.
Nakusubiri kwa hamu veitel maana tumechoka kunyonywa uku TCRA wamekaa kimya tu! Hawawezi hata kukontroo bei ya hawa matapeli?