Snipper
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,336
- 2,157
Sijui kama kuna tatizo kwenye simu yangu au kuna tatizo kwenye mtandao wa Airtel. Leo nimenunua vifurushi vya internet vya thamani 1GB lakini havikuchukua hata masaa matatu vikawa vimeisha.
Nikiangalia matumizi sioni kitu ambacho nimekifanya cha kuweza kumaliza GB moja nzima ndani ya masaa matatu zaidi ya kuingia Jf na kusoma meseji Whatsap. Ukiwapigia wadada wa huduma kwa wateja wala hawana majibu ya maana zaidi ya kukuambia umemaliza bundle lako.
Nikiangalia kwenye simu sioni kama kuna updates zimefanyika ambazo zinaweza kumaliza hicho kifurushi.
Airtel kama mnaanza wizi wa namna hii jiangalieni sana na tambueni hii ni January watu tuko sensitive sana na matumizi. Hapa imebidi niachane nao nihamie mtandao wa Vodacom naendelea kutiririka tu; ka bundle ka buku lakini kamekaa muda kuliko ilivyokuwa kwenye bundle ya 1GB.
Tutawakimbia tulio wengi. TCRA waangalieni sana Airtel nahisi kuna kitu hakiko sawa leo.
Nikiangalia matumizi sioni kitu ambacho nimekifanya cha kuweza kumaliza GB moja nzima ndani ya masaa matatu zaidi ya kuingia Jf na kusoma meseji Whatsap. Ukiwapigia wadada wa huduma kwa wateja wala hawana majibu ya maana zaidi ya kukuambia umemaliza bundle lako.
Nikiangalia kwenye simu sioni kama kuna updates zimefanyika ambazo zinaweza kumaliza hicho kifurushi.
Airtel kama mnaanza wizi wa namna hii jiangalieni sana na tambueni hii ni January watu tuko sensitive sana na matumizi. Hapa imebidi niachane nao nihamie mtandao wa Vodacom naendelea kutiririka tu; ka bundle ka buku lakini kamekaa muda kuliko ilivyokuwa kwenye bundle ya 1GB.
Tutawakimbia tulio wengi. TCRA waangalieni sana Airtel nahisi kuna kitu hakiko sawa leo.