Shukrani A. Ngonyani
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,179
- 2,004
Nimenunua GB 2 kwa Airtel Money, nikaingia whattsapp nikatuma sms 2 tu. nikazima simu.
Nawasha naambiwa bundle limekwisha, looh! GB 2 kuingia WhattsApp limekwisha?
Nawapigia huduma kwa wateja, nao ni majanga, bora nisingewauliza. Wana hasira hao kushinda mie mwenyewe.
Hapo izingatiwe nimezima background data, nimeweka tena jioni hi GB 1. Nayo imeishia kudownload Opera Mini tu katika simu kifurushi kimekata.
Nawasha naambiwa bundle limekwisha, looh! GB 2 kuingia WhattsApp limekwisha?
Nawapigia huduma kwa wateja, nao ni majanga, bora nisingewauliza. Wana hasira hao kushinda mie mwenyewe.
Hapo izingatiwe nimezima background data, nimeweka tena jioni hi GB 1. Nayo imeishia kudownload Opera Mini tu katika simu kifurushi kimekata.