Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,163
Helow wana jf kuna shida imetokea kwangu ilikuwa tarehe 19/1/2020 nilikuwa nafanya malipo (kulipia bill) baada yakuthibitisha muamala sms iliyofuata ombi lako linashughulikiwa.
Nilikaa masaa kama mawili bila kuona sms ya mrejesho nikaamua kuwapigia huduma kwa wateja .wakasema ni kweli kuna tatzo wanalishughulikia nikaa siku nzima bila sms.
Kesho yake napo nill nikaamua kupiga simu tena nikaambiwa tatzo langu wanalishughulikia hadi leo mrejesho sijapata
Mpka sasa bado najiuliza ni hii airtel iliyokuja imenikuta nimezaliwa au ni mpya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikaa masaa kama mawili bila kuona sms ya mrejesho nikaamua kuwapigia huduma kwa wateja .wakasema ni kweli kuna tatzo wanalishughulikia nikaa siku nzima bila sms.
Kesho yake napo nill nikaamua kupiga simu tena nikaambiwa tatzo langu wanalishughulikia hadi leo mrejesho sijapata
Mpka sasa bado najiuliza ni hii airtel iliyokuja imenikuta nimezaliwa au ni mpya?
Sent using Jamii Forums mobile app