aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 4,109
- 11,831
Wakuu nimenunua vocha na nikaiweka kwenye laini yangu ya Airtel bila matatizo,
Cha ajabu nataka kujiunga inakataa, inasema nijaribu baadae!
Nimejaribu mara nyingi bila mafanikio.
Nimejaribu kuuliza watu wa karibu nao pia inagoma kufanya kazi.
Hofu yangu ni salio nililoweka.
Hata kwenu inakataa hivi?
Cha ajabu nataka kujiunga inakataa, inasema nijaribu baadae!
Nimejaribu mara nyingi bila mafanikio.
Nimejaribu kuuliza watu wa karibu nao pia inagoma kufanya kazi.
Hofu yangu ni salio nililoweka.
Hata kwenu inakataa hivi?