EIFFEL
Member
- Jul 20, 2018
- 34
- 400
Habarini za jioni wakuu,
Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa letu.
Binafsi naomba niwasilishe malalamiko yangu kwa hawa AIRTEL TANZANIA kutokana na vitendo vyao hivi ambavyo ni viashiria wazi vya dhuluma kwa wateja wao.
Kwa kawaida hua sipendi kununua bundles kwa vocha za kukwangua kwa sababu ya kuokoa muda na kutokua na access nazo kiurahisi, instead hua ninatumia AIRTEL MONEY. Lakini leo situation imekua tofauti, nimejiunga kifurushi changu kama ilivyo ada kwangu, unfortunately nkapokea ujumbe wa huduma hio kutokuwepo hewani labda njaribu tena baadae, lakini pesa WAMEKATA. Kuangalia salio la kifurushi ni 0 MBs, nikasema ngoja njaribu tena nkapokea ujumbe huo huo kwa mara nyingine na hela yao wakakata tena bila ya kuniunga kifurushi.
Nika-opt kuwapigia customer care, nikaishia kuambiwa leo kuna tatizo katika mtandao wao na pesa yangu itarudishwa ndani ya masaa yasiyozidi 24.
Lakini hii si mara ya kwanza hii situation kutokea kwangu ni mara ya 3, ma the previous 2 times hela yangu haijawah kurudi, wanaishiaga kunipa tu calender kuwa pesa yako inarudi ilhali huwa hawarudishi.
Leo nikasema no this is not right, namuuliza mtu wa huduma kwa wateja, kama kuna hitilafu kwanini sisi wateja hatupewi notice mapema kuhusu kutonunua kifurushi kwa njia ya AIRTEL MONEY? OK fine, hamjatoa notice kwanini mnakata hela ilhali hamniungi kiufushi?
Hana majibu ya kunipa anaishia tu kusema pesa yangu itarejeshwa.
Sasa nawauliza nyie AIRTEL,
1. Kwanini mnakata pesa za wateja wenu bila kuwaunganisha kifurushi?
2. Kama kuna hitilafu ya muda mfupi kwanini hamtoi taarifakwa wateja wenu mapema ili watafute njia mbadala mapema?
Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa letu.
Binafsi naomba niwasilishe malalamiko yangu kwa hawa AIRTEL TANZANIA kutokana na vitendo vyao hivi ambavyo ni viashiria wazi vya dhuluma kwa wateja wao.
Kwa kawaida hua sipendi kununua bundles kwa vocha za kukwangua kwa sababu ya kuokoa muda na kutokua na access nazo kiurahisi, instead hua ninatumia AIRTEL MONEY. Lakini leo situation imekua tofauti, nimejiunga kifurushi changu kama ilivyo ada kwangu, unfortunately nkapokea ujumbe wa huduma hio kutokuwepo hewani labda njaribu tena baadae, lakini pesa WAMEKATA. Kuangalia salio la kifurushi ni 0 MBs, nikasema ngoja njaribu tena nkapokea ujumbe huo huo kwa mara nyingine na hela yao wakakata tena bila ya kuniunga kifurushi.
Nika-opt kuwapigia customer care, nikaishia kuambiwa leo kuna tatizo katika mtandao wao na pesa yangu itarudishwa ndani ya masaa yasiyozidi 24.
Lakini hii si mara ya kwanza hii situation kutokea kwangu ni mara ya 3, ma the previous 2 times hela yangu haijawah kurudi, wanaishiaga kunipa tu calender kuwa pesa yako inarudi ilhali huwa hawarudishi.
Leo nikasema no this is not right, namuuliza mtu wa huduma kwa wateja, kama kuna hitilafu kwanini sisi wateja hatupewi notice mapema kuhusu kutonunua kifurushi kwa njia ya AIRTEL MONEY? OK fine, hamjatoa notice kwanini mnakata hela ilhali hamniungi kiufushi?
Hana majibu ya kunipa anaishia tu kusema pesa yangu itarejeshwa.
Sasa nawauliza nyie AIRTEL,
1. Kwanini mnakata pesa za wateja wenu bila kuwaunganisha kifurushi?
2. Kama kuna hitilafu ya muda mfupi kwanini hamtoi taarifakwa wateja wenu mapema ili watafute njia mbadala mapema?