AirTanzania first Airbus A220-300 gaining shape

Si bora walikuwa hospital sio vichakani, chadema tafuteni kazi Za kufanya mziki huu ni extra miles Kwa upoe wa Mugabe wenu Mbowe....
yaani watu walale chini wewe unasifia ndege hizo ni akili?!!njaa za kujikomba ili kutafuta teuzi ndio shida,kila mtu anayetoa mawazo tofauti na yenu mnamuona mpinzani!!vitu vidogo vikushinde utaweza vikubwa?uchumi ni taaluma sio ubabe dada!!wala vitisho ingekuwa hivyo sasa shilingi moja ingebadirishwa kwa usa dolar 1200!!
 
yaani watu walale chini wewe unasifia ndege hizo ni akili?!!njaa za kujikomba ili kutafuta teuzi ndio shida,kila mtu anayetoa mawazo tofauti na yenu mnamuona mpinzani!!vitu vidogo vikushinde utaweza vikubwa?uchumi ni taaluma sio ubabe dada!!wala vitisho ingekuwa hivyo sasa shilingi moja ingebadirishwa kwa usa dolar 1200!!
ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia wasalimie ufipani
 
ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia wasalimie ufipani
jibu hoja!!hospitali ya wilaya ya mkuranga huu ni mwaka wa 10. hakuna x ray machine,eti una kuja na habari za ndege huo si ujinga!!mgonjwa asafiri km 26 k wenda mkoa mwingine kupigwa x ray tu!!hadi mnatia huruma!!jina nyumbu lisikie tu,
 
#AirTanzania first #Airbus #A220-300 gaining shape
View attachment 942029




PICTURES OF NEW AIRCRAFT BEGIN TO EMERGE SHOWING ADVANCED STATE OF ASSEMBLY

(Posted 19th November 2018)
View attachment 942032

(Picture courtesy of Fliegerfaust.com)

The delivery of Air Tanzania’s first Airbus A220-300, previously known as the Bombardier CSeries 300, is now definitely coming closer to reality, after pictures emerged showing the paintwork has now been completed.
The aircraft will be delivered in an all economy cabin layout – at least that was the initial order – and will be the first such plane then registered and flying in Africa.
View attachment 942043
Habari hii si nzuri kwa majirani zetu mtaa wa UFIPA
 
jibu hoja!!hospitali ya wilaya ya mkuranga huu ni mwaka wa 10. hakuna x ray machine,eti una kuja na habari za ndege huo si ujinga!!mgonjwa asafiri km 26 k wenda mkoa mwingine kupigwa x ray tu!!hadi mnatia huruma!!jina nyumbu lisikie tu,
yaani wewe boya kweli nyinyi mbona ufipa hakuna ofisi lakini mumenunua magari so kupanga ni kuchagua
 
Hiyo itakua "another national economic disaster." ...mpaka sasa dreamliner ina paa kwenye nchi ya Dar mwz na Arusha....
Siku ikianza kupaa anga za nchi kusudiwa mtaanza sema mbona haiendi mwezini ! Watu bwana !
 
jibu hoja!!hospitali ya wilaya ya mkuranga huu ni mwaka wa 10. hakuna x ray machine,eti una kuja na habari za ndege huo si ujinga!!mgonjwa asafiri km 26 k wenda mkoa mwingine kupigwa x ray tu!!hadi mnatia huruma!!jina nyumbu lisikie tu,
Walau atatoka mkuranga kuja Dar kwenye barabara ya lami ! It is the question of priorities mkuu ! Ukiamua kuweka x-Ray machines hospitali zote za wilaya nchini vile vile utalaumiwa maeneo mengine ya priorities. A national airline was an overdue priority.
 
Siku ikianza kupaa anga za nchi kusudiwa mtaanza sema mbona haiendi mwezini ! Watu bwana !
Na wana maswali ya ajabu sana si ajabu baada ya hilo watauliza vyoo vilivyopo vya kukaa sisi tulitaka vya shimo,kwa jadi yetu waswahili ndege hii tumepigwa basi ilimradi midomo ya ufipa haiachi kubwabwaja.
 
Airbus ...... Bomberdier C series 300 ???
airbus wamenunua kampuni ya bombardier,kwa hiyo chapa zilizokua za bombarduer zinabadilishwa zisomeke kwenye series za airbus....hii ni habari mbaya sana kwa wapinga maendeleo
 
Back
Top Bottom