shamba la bibi hili!! hata box la condoms waliniomba rushwa!! laanakhum wala rushwa wote!
Kwani huyo KITILA HAJUI? INAMAANA HAKUNA MTU WA SERIKALI ANAYEJUA MADUDU YA PALE AIRPORT? BELIEVE ME BROTHER HATA HUYO BWANA UNAEMTAJA ANANUFAIKA NA HAKO KA MCHEZO NDIO MAANA HAWATAFUTI SULUHU YA KUDUMU! NI WAJIBU WETU WATANZANIA KUTAFUTA SUSTAINABLE SOLUTION TO THESE VERY CHILDISH AND STRANGE INCONVINIENCES! VIONGOZI WETU TUMEWAPA MAGARI MAZURI; ULINZI MADHUBUTI NA MARUPURUPU MENGI TU; LAKINI HATA SUALA LA DK5 KUMALIZA UPUUZI WA PALE AIRPORT HAWAWEZI MPAKA AJE MWAKYEMBE AU MAGUFULI!Nikiwa muathirika mkuu wa jambo hili limeniuma sana tena sana na sijui watanzania wangapi washafanyiwa hili jambo. Nikiwa miongoni wa wasafiri na kusubiri mizigo yetu pale sehemu ya kukusanyika mizigo nami nilikua na ka TV kangu nimekuja nacho kumbe sikua peke angu na kulikua na wazungu nao walikua na ma music system na vifaa vya electronic vyingine.
Baada ya kupakia kwenye kitoroli changu nikasimama nyuma ya wale wazungu hapo ndo wakaja watu wawili mmoja akajitambulisha kama TRA na mwengne kama ofisa usalama nikawauliza shida yao wakanijibu hii tv ukailipie ushuru nikamwambia sawa but na wale wazungu pia wakalipie ushuru music system zao yule jamaa wa TRA akaja juu wewe usituchagulie mtu wa kulipa ushuru nikamjibu mimi ni mhasibu na najua wajibu wa kulipa kodi so waite na wale walipe otherwise nitatafuta haki mbele ya safari akauchuna na kuondoka zake huku akinitazama kwa jicho la ushenzi. Nilipo muhadithia jamaa yangu mmoja ambae ni mhasibu pia akaniambia wale ni wababaishaji na sijui hata kama ethnic ya uhasibu wanaijua.
My take,
Serikali pamoja na watu wa idara ya mapato tupieni jicho airport maana kuna ushenzi wa hali ya juu. Na sitalifungia jicho hili suala nitahakikisha namfikishia kitilya alivalie njuga
Ahsante mkuu kwa kunikoga moyo, yaani umenifurahisha sana!! tunahitaji system overhauling.Ule uwanja kuupa Jina la Mwalimu Nyerere ni aibu kubwa sana, ni bora wangeubadilisha jina na kuita Mkapa au Kikwete kwa jinsi ulivyojaa rushwa. Mwalimu alikuwa sio mlarushwa au mfujaji wa mali zetu. Uwanja wenyewe mchafu, vyoo vichafu, wafanyakazi walarushwa kama waajiriwa waliopangishwa na watanzania kule Magogoni. Hauna maana au faida yoyote kwa watanzania. Tena ukishuka pale ukiwa mtanzania ndio wanakuumiza sana kuliko mgeni, hii nchi imelaaniwa sana wenyewe kwa wenyewe hatupendani.
Mkuu. Sio kila mhasibu ni jambazi na fisadi mm binafsi nina audit firm yangu na sijawahi kumdhulumu mtu wala serikali yangu so na mm sipendi kudhulumiwa
shamba la bibi hili!! hata box la condoms waliniomba rushwa!! laanakhum wala rushwa wote!
ethiopia ,air india, emirates, qatar lazima msachiwe hasa ukiwa kijana coz vijana wengi wanaitumia hii airpot kupisha unga na mizigo isiyolipiwa ushuru. NDIO HALI HALISI.
Na hao abiria vijana ukiuliza anakaa wapi utasikia magomeni mapipa, ilala ,kinondoni etc . Kanyoa kipara, katoboa hereni na macheni kibao . Sasa si lazima kuwe na sachi ya kutosha wandugu au.
ethiopia ,air india, emirates, qatar lazima msachiwe hasa ukiwa kijana coz vijana wengi wanaitumia hii airpot kupisha unga na mizigo isiyolipiwa ushuru. NDIO HALI HALISI.
Hahahaha airpot kama stand ya mkoa ubungo. sasa utacheka ikiingia ethiopia air ndege nzima kama kuna mzungu basi ni mmoja. Utakuta abiria mmoja ana mizigo kama gunia 3 tena rumbesa . Harafu anabishana kulipa ushuru. Achana na vijana wa bwimbwi wa kumwaga. Yaani ni njaa + njaa = vituko
nchi hii kila mahala kumeoza, airport pameoza, bandari pameoza, tra pameoza, polisi kumeoza uozo uozo uozo wa rushwa kila mahala
ethiopia ,air india, emirates, qatar lazima msachiwe hasa ukiwa kijana coz vijana wengi wanaitumia hii airpot kupisha unga na mizigo isiyolipiwa ushuru. NDIO HALI HALISI.