Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,370
- 39,186
Kwa mara nyingine tena viongozi wa upinzani na wa CCM wanagongana airport..(nyama za mashirika ya ndege???). Safari hii ni Mhe. Zitto akitokea Nairobi kwenye mkutano wa Raila Odinga na akagongana airport na baadhi ya mawaziri wa CCM ambao walikuja kumpokea Rais... Mawaziri wengine hawakuonesha husuda miongoni mwao ni mama Meghji... Mhe. Karamagi naye alikuwepo lakini alijifanya hakumuona Zitto na hivyo kuamua kumchunia kimya kimya... More details to come...