Futota
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 521
- 87
Jamani haka ka mchezo ka kufungua masanduku/mizigo yetu airport Dar na kutuibia, kipindi kidogo cha nyuma tulipumzika. Sasa naona tabia hii imerudi tena. Kama wasipoiba kitu basi wanapaka sijui kemikali gani katika viatu nk. ambayo inaweka madoa yasitoka. Jamani hii ni nini lakini? Leteni experiences zenu, mtu ufanye nini au uripoti wapi ukifikwa na hivi?