Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliposhindwa kutabili jengo lake likaua watu basi imedhihirisha utapeli wake wa hali ya juu
Tapeli tu.
Acha uongo wewee,alisema kabla na aliliombea hilo pia'
Aliona,sawa!aliombea,sawa!,likatokea pia!?So what's the essence of prophecy,when even prayers can't change the course?
kama unasoma biblia fuatilia kilichomkuta ayubu, don't be stupid
kama unasoma biblia fuatilia kilichomkuta ayubu, don't be stupid
Yesu alitabiri juu ya kuanguka kwa mji wa Yerusalemu na maafa yatakayowapata wenyeji na akaulilia, je yalibadilika? Maafa hayakutokea?Nauliza tena,kwanini unabii wake unabase kwenye mambo hasi tu?pia hata akiyaombea hayaondoki!Badala yake yakitokea wanabaki kama kushangilia kuwa nabii aliliona na hili!so what!?
Acha uongo wewee,alisema kabla na aliliombea hilo pia'
Acha uongo wewee,alisema kabla na aliliombea hilo pia'