Wadau kuna taarifa ya kuwa Shirika la Ndege la AirArabia ya Serikali ya Sharjah ya UAE, itaanza safari zake Dubai/Sharjah-Nairobi soon..
tetes zilizopo ni kuwa Nauli itakuwa chini ya dola 300 (dh1000)
Hili shirika ndio shiriko lenye viwango nafuu vya usafiri kwa sehem kubwa za Middle East, Africa na Asia, wao principal kubwa wanayotumia ni kuwa Chakula hakiwi included ktk overal fair...
Kwa utaratibu huu Jiji la Nairobi litazidi kufurika na kuna uwezekano wafanya biashara wadogo waendao dubai huenda waka opt hii njia ya kwenda Nairobi, then wakirudi wanaweza rudi kwa precision au kwa basi za kuja DSM...
napenda kuwauliza wadau wenzangu..vipi Bongo tutanufaika na cheapest flight kama Hizi?....je hapa hakuna ufisadi wa 10% ya kuwaleta serious investor? mwenye pua za kunusa anaweza kuteletea nyeti zaid!!!
tetes zilizopo ni kuwa Nauli itakuwa chini ya dola 300 (dh1000)
Hili shirika ndio shiriko lenye viwango nafuu vya usafiri kwa sehem kubwa za Middle East, Africa na Asia, wao principal kubwa wanayotumia ni kuwa Chakula hakiwi included ktk overal fair...
Kwa utaratibu huu Jiji la Nairobi litazidi kufurika na kuna uwezekano wafanya biashara wadogo waendao dubai huenda waka opt hii njia ya kwenda Nairobi, then wakirudi wanaweza rudi kwa precision au kwa basi za kuja DSM...
napenda kuwauliza wadau wenzangu..vipi Bongo tutanufaika na cheapest flight kama Hizi?....je hapa hakuna ufisadi wa 10% ya kuwaleta serious investor? mwenye pua za kunusa anaweza kuteletea nyeti zaid!!!