Air Tanzania yatua Somalia

Hivi ATC wana rubani mzungu? Au huyo kushoto katoka ndege nyingine kaja kushangaa hapo!
 
Mkuu ngoja nimsaidie mleta mada kukufafanulia kuwa hapo ni Mogadishu....

1. Hawa ni viongozi wa kiserikali walikuwa wanamsubiri afike...picha hii hapa chini ndio itakusaidia kujua hapo ni Mogadishu kwani hilo jengo kwa nyuma ni jengo la uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mogadishu...(try to google search)

Duh Huyo Jenerali mwenye kombat ni Mtanzania.Kweli watanzania noma.na ndio maana Rais kakodi hiyo ndege halafu mtu ajaribu kuidungua

MD-xasan-oo-soo-laabtay-2-620x413.jpg


2. Hapa chini rais wao kafika na wanampokea...

attachment.php


MD-xasan-oo-soo-laabtay-4-620x413.jpg


3. Ameshapokelwa na wanaelekea kwenye jengo la airport kwa ajili ya mkutano mdogo....

MD-xasan-oo-soo-laabtay-6-620x413.jpg


4. Rais wao akihutubia katika chumba cha mkutano...

MD-xasan-oo-soo-laabtay-7-620x413.jpg


5. Air Tanzania ikijiandaa kuondoka kwenye run track...

MD-xasan-oo-soo-laabtay-1-620x413.jpg

Huyo Jenerali mwenye kombat ni Mtanzania!!Watz noma sana,na ndege yetu kakodishiwa,atoke mtu aidungue
 
Mkuu ngoja nimsaidie mleta mada kukufafanulia kuwa hapo ni Mogadishu....

1. Hawa ni viongozi wa kiserikali walikuwa wanamsubiri afike...picha hii hapa chini ndio itakusaidia kujua hapo ni Mogadishu kwani hilo jengo kwa nyuma ni jengo la uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mogadishu...(try to google search)

MD-xasan-oo-soo-laabtay-2-620x413.jpg


2. Hapa chini rais wao kafika na wanampokea...

attachment.php


MD-xasan-oo-soo-laabtay-4-620x413.jpg


3. Ameshapokelwa na wanaelekea kwenye jengo la airport kwa ajili ya mkutano mdogo....

MD-xasan-oo-soo-laabtay-6-620x413.jpg


4. Rais wao akihutubia katika chumba cha mkutano...

MD-xasan-oo-soo-laabtay-7-620x413.jpg


5. Air Tanzania ikijiandaa kuondoka kwenye run track...

MD-xasan-oo-soo-laabtay-1-620x413.jpg

Jambo msilolijua ni kama usiku wa kiza.
Hiyo ndege sio ya Tanzania na wala haijasajiliwa Tanzania. Ndege za Tanzania Husajiliwa kwa kuanza na 5H-. Ukiangalia vizuri hiyo ndege huko karibu na mkia imesajiliwa kwa kuanzia na 5Y- ikimaanisha imesajiliwa Kenya.
Mambo mengine muwe mnasumbua kidogo vichwa vyenu.
 
Jambo msilolijua ni kama usiku wa kiza.
Hiyo ndege sio ya Tanzania na wala haijasajiliwa Tanzania. Ndege za Tanzania Husajiliwa kwa kuanza na 5H-. Ukiangalia vizuri hiyo ndege huko karibu na mkia imesajiliwa kwa kuanzia na 5Y- ikimaanisha imesajiliwa Kenya.
Mambo mengine muwe mnasumbua kidogo vichwa vyenu.

sasa kwanini isajiliwe kwa kutumia jina Air Tanzania ambalo ni jina la shirika letu? huo si utapeli na ukiukaji haki miliki?
 
Nimeichunguza Ndege, sidhani kama ni yenyewe. Mbona TWIGA simuoni? Au ni ndege ya watu waliiweka sole tape za rangi
 
Jambo msilolijua ni kama usiku wa kiza.
Hiyo ndege sio ya Tanzania na wala haijasajiliwa Tanzania. Ndege za Tanzania Husajiliwa kwa kuanza na 5H-. Ukiangalia vizuri hiyo ndege huko karibu na mkia imesajiliwa kwa kuanzia na 5Y- ikimaanisha imesajiliwa Kenya.
Mambo mengine muwe mnasumbua kidogo vichwa vyenu.

Kuna mahali uliposoma kwamba nimeandika hiyo ndege inamilikiwa na Taifa gani?

Post yangu ilikuwa ni kumuelewesha Habari ya Mujini kuwa huu uwanja wa ndege upo nchini Somalia na si kwingineko..
 
Biashara zingine RISKY....!! (tundege twenyewe tuwili halafu kuchanganyikia dili isiyo na security, Maana wapo wengi waliikata dili hii) !
 
Mkuu ngoja nimsaidie mleta mada kukufafanulia kuwa hapo ni Mogadishu....

1. Hawa ni viongozi wa kiserikali walikuwa wanamsubiri afike...picha hii hapa chini ndio itakusaidia kujua hapo ni Mogadishu kwani hilo jengo kwa nyuma ni jengo la uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mogadishu...(try to google search)

MD-xasan-oo-soo-laabtay-2-620x413.jpg


2. Hapa chini rais wao kafika na wanampokea...

attachment.php


MD-xasan-oo-soo-laabtay-4-620x413.jpg


3. Ameshapokelwa na wanaelekea kwenye jengo la airport kwa ajili ya mkutano mdogo....

MD-xasan-oo-soo-laabtay-6-620x413.jpg


4. Rais wao akihutubia katika chumba cha mkutano...

MD-xasan-oo-soo-laabtay-7-620x413.jpg


5. Air Tanzania ikijiandaa kuondoka kwenye run track...

MD-xasan-oo-soo-laabtay-1-620x413.jpg

Nashukuru kwa maelezo mazuri mkuu ila bado picha hazijielezi vizuri,,picha ya jengo unalosema lipo uwanja wa ndege lipo peke yake air tz haionekani eneo la hilo jengo,,picha za viongozi pia hilo jengo halionekani..kimsingi angalau ungekuwa na picha ya inayoonesha hilo jengo,viongizi na ndege kwa pamoja ningekubaliana nawe...
 
Nashukuru kwa maelezo mazuri mkuu ila bado picha hazijielezi vizuri,,picha ya jengo unalosema lipo uwanja wa ndege lipo peke yake air tz haionekani eneo la hilo jengo,,picha za viongozi pia hilo jengo halionekani..kimsingi angalau ungekuwa na picha ya inayoonesha hilo jengo,viongizi na ndege kwa pamoja ningekubaliana nawe...

Hahah!! mkuu hebu punguza ubishi basi...

Au labda nikupe maelezo mbadala:

Kwa kawaida kiongozi wa nchi anapotoka ziarani hulakiwa na viongozi waandamizi wa serikali yake pindi arejeapo...

Katika picha hii hapa chini huyu mzee mwenye ndevu nyeupe anayetoa mkono wa karibu ni spika wa bunge la Somalia Bw. Prof.Mohamed Osman Jawari

MD-xasan-oo-soo-laabtay-4-620x413.jpg


Pia upande wa kulia wa picha hiyo hapo juu kuna bwana aliyegeuza shingo yake kavaa kaunda suti na miwani ya kiza...

Tukimtumia huyu bwana kama reference yetu, hapo juu anaonekana yeye na ndege. Katika picha hii hapa chini ambapo yupo upande wa kushoto anaonekana yeye na jengo la uwanja...

Ukiunganisha picha hizi mbili bila shaka utatambua ni eneo moja zilipopigwa...

MD-xasan-oo-soo-laabtay-2-620x413.jpg


Au lah kama bado una wasiwasi kuna link hii ya mtandao wa kisomali labda nikuwekee ndio utaamini, ila wameandika kwa kisomali hivyo tumia Google Translator kutafsiri...

Madaxweynaha Soomaaliya iyo wafdi uu hogaaminayo oo maanta dib ugu soo laabtay Muqdisho (Sawirro) -
 
Wapo mbona oman air(wy) ina marubani wakitanzania wengi kutoka zanzibar

Oman hawana marubani wa Kitanzania kutoka Zanzibar ,inawezekana ni WaZanzibari wenye asili ya Omani ,huko ni kwao kwenye asili yao ,si hata wayahudi wapo Zanzibar !
 
Back
Top Bottom