Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,219
- 12,924
Naam wanajamvi sasa safari za moja kwa moja toka Tanzania mpaka India zimeiva kupitia ndege yako pendwa za Air Tanzania, Ni kuanzia Tarehe 17 July safari itaanza rasmi kwa siku za Jumatano, Ijumaa na Jumapili.
Daraja la Economy ni Tsh 557,600.00
Daraja la Business ni Tsh 2,878,500.00
Safari itaanza saa 18:00 Dar es Salaam na ndege inatarajiwa kuwasili Jijini Mumbai majira ya saa 02:50+1 usiku.
Nunua Ticket yako sasa kupitia wavuti ya Air Tanzania
www.airtanzania.co.tz