Air Tanzania to launch 7 destinations

lee shaka

Member
Feb 10, 2008
12
0
It seems bid for Air Tanzania to survive goes well, i checked on Amadeus ( world leading GDS) and saw the timetable for Air tanzania is loaded and is bookable through E- Ticketing on all Destinations served by them as well as the new ones.

Here are the details,

1. Nairobi - Daily B737
2. Dubai - 4 weekly Airbus A320
3. Kinshasa - 4 weekly B737
4. Kigali - 4 weekly B737
5. Bujumbura - 4 weekly B737 ( combined with Kigali)
6. Tabora - 4 weekly Dash 8
7. Kigoma - 4 weekly Dash 8 ( combined with Tabora)

and increased of frequency to current destionatins

1. Jo'burg - Daily Airbus A320 and
4 weekly B737 via ZNZ
2.Entebbe - 6 weekly B737

3. Comoro - 3 weekly Nonstop B737

4. Mtwara - Daily Dash 8

5. Mwanza - Double daily B737 and
3 weekly Dash 8

6. Kilimanjaro - Double Daily B737 and
Daily Dash 8 and
3 weekly Dash 8

7. Zanzibar - Daily B737
Daily Dash 8
Zaznibar - Joburg - 4 weekly B737 nonstop


.
 
Tuwapinge mafisadi ktk hili.... lets all make sure ATC inaendelea na kutoa huduma bora zaidi kwa watanzania wote!!!
Hongera ATC kwa hatua hiyo..
 
Heshima mbele.... Ingawa nimekuwa na "UTOMASO" katika swala zima la ATC reform, kwa kweli kwa kuangalia hiyo proposed/tentative schedule kwa kweli nimepata moyo sana na ninapenda kusema.......ATC, KAZI KWENU WAKUU..... Pia niwape hongera kwa kuangalia aina ya ndege kulinganisha na route wanayochukua na competition!! Kwa kweli hapo wakuu mmecheza ngoma kubwa na tutawashangilia.... Kikubwa ni yale mambo ya "punctuality, service quality, customer care...... SAFETY" mengine mtuachie abiria tutafanza safari zetu kwenu!!!

Mungu awabariki kwa hilo wakuu...........
 
viewphoto.main
 

Attachments

  • atc.jpg
    atc.jpg
    41.1 KB · Views: 63
see the image above of their first Dash 8 out of hangar ready for delivery to Air Tanzania
 
Lee, the baby looks good.... Tuombe Mungu na huduma pia ziwe nzuri manake ndege ni nzuri (expected fleet), rangi ni bomba na kilichobaki ni huduma...................

Mola awaongoze ATCL waruke kama tai!!
 
Back
Top Bottom