Kabla ya kusema hivyo hebu tafakari yafuatayo
Kama hujui uliza
KQ mna ndege tatu tu na mnaringa.Kila kufuli na ufunguo wake. Kuna ng'ombe sehemu fulani ambao msiba wao tayari umeandikwa kwa wino ambao haufutiki. Maanake kwa mwendo huu hiyo siku ndege itakapowasili lazima watu watachafua nyuso zao wakipambana na minofu. Upande wa pili nao KQ imeingia kwenye mkataba wa order ya ndege kumi kwa mpigo, na sio mapanga boi. Wala usitegemee kusikia vifijo na nderemo vimeshamiri hewani. Its okay, such is life.
Ndege kumi lazima iwe ni mkopo, kumbuka KQ hadi leo inatengeneza hasara, haina uwezo wa kulipa hata gharama za ndege walizokodi, kiufupi haina uwezo wa kulipa gharama za uendeshaji.Kila kufuli na ufunguo wake. Kuna ng'ombe sehemu fulani ambao msiba wao tayari umeandikwa kwa wino ambao haufutiki. Maanake kwa mwendo huu hiyo siku ndege itakapowasili lazima watu watachafua nyuso zao wakipambana na minofu. Upande wa pili nao KQ imeingia kwenye mkataba wa order ya ndege kumi kwa mpigo, na sio mapanga boi. Wala usitegemee kusikia vifijo na nderemo vimeshamiri hewani. Its okay, such is life.
KQ has not ordered any planes, Stop propaganda..Read what Michael joseph said👇👇👇👇👇Kila kufuli na ufunguo wake. Kuna ng'ombe sehemu fulani ambao msiba wao tayari umeandikwa kwa wino ambao haufutiki. Maanake kwa mwendo huu hiyo siku ndege itakapowasili lazima watu watachafua nyuso zao wakipambana na minofu. Upande wa pili nao KQ imeingia kwenye mkataba wa order ya ndege kumi kwa mpigo, na sio mapanga boi. Wala usitegemee kusikia vifijo na nderemo vimeshamiri hewani. Its okay, such is life.
Ndege kumi lazima iwe ni mkopo, kumbuka KQ hadi leo inatengeneza hasara, haina uwezo wa kulipa hata gharama za ndege walizokodi, kiufupi haina uwezo wa kulipa gharama za uendeshaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume, hebu tuweke umbea na porojo kando kwa dakika moja.KQ mna ndege tatu tu na mnaringa.
Ya kuazima haisitiri makalio!
Kwa sababu zaidi ya asilimia 50 ya viwanja vya Tanzania haviwezi kuhudumia ndege kubwa.
Wanaume, hebu tuweke umbea na porojo kando kwa dakika moja.
Hii hapa ni chart ya umiliki wa ndege za KQ. KQ inamiliki ndege 40 kwa sasa, 20 zinamilikiwa moja kwa moja na KQ, 20 kwa mikataba ya lease. Ndege zingine 10 zinatarajiwa baada ya KQ kusaini mkataba wa order na Boeing. KQ ipo kwenye ligi nyingine bana. Wewe unayeongea kuhusu hasara tuambie kuhusu faida ambayo shirika lenu limepata na ndege zake saba tu.