Air Tanzania new logo: I think we need to write to CEO

Insurgent

JF-Expert Member
Jun 26, 2007
469
18
Wandugu, Wajameni,

Nimeongelea mengi katika mazuri yanayofanywa na serikali yetu likiwa pamoja na lile la serikali kuisaidia Air Tanzania.

Nilifurahishwa pale CEO huyu mpya, David Mattaka, alipotangaza mipango ya ndege mpya pamoja na uamuzi wake wa kutumia Mercator service kwa ajili ya Revenue accounting.

Nimesikitishwa na yeye kuamua kuitupilia mbali logo yetu ya zamani ya Air Tanzania:


Na kutuletea logo mpya iliyokuwa designed na wakenya ambayo inafanana na ile ya Kenya Airways.
ATCL_Logo.PNG


KenyaAirways2.gif


Hivi tumeishiwa creativity kabisa na tumeamua kuwa copycats?

Naomba mchango wenu kabla ya kumuandikia CEO rasmi kumuomba alifikirie hili.
 
Nimesikitishwa na yeye kuamua kuitupilia mbali logo yetu ya zamani ya Air Tanzania:


Na kutuletea logo mpya iliyokuwa designed na wakenya ambayo inafanana na ile ya Kenya Airways.
ATCL_Logo.PNG


KenyaAirways2.gif


Hivi tumeishiwa creativity kabisa na tumeamua kuwa copycats?

Naomba mchango wenu kabla ya kumuandikia CEO rasmi kumuomba alifikirie hili.

Tunashukuru lakini kama ungaongelea logo, as log hizo ziko Tofauti!
 
Kilitime,

huoni similarities zilizoko kati ya logo mpya na ile ya KQ?

naziona sana, maoni yangu ni kwamba kwenye issue ya kibiashara hizo ni nembo mbili tofauti, lakini maoni yako ni ya kweli,,, ndio hivyo uvivu wetu umejikita kila mahali!!!
 
Basi hapo kwenye A wangeweka T, background wangerudisha ya blue angalau ifanane na ile ya zamani kidogo.
 
Nadhani mnajua yaliyotokea mpaka MUUUNGWANA aliposhauriwa AMCHUKUE MATAKA badala ya yule qualified aliyepo USA
 
Wandugu, Wajameni,

Nimeongelea mengi katika mazuri yanayofanywa na serikali yetu likiwa pamoja na lile la serikali kuisaidia Air Tanzania.

Nilifurahishwa pale CEO huyu mpya, David Mattaka, alipotangaza mipango ya ndege mpya pamoja na uamuzi wake wa kutumia Mercator service kwa ajili ya Revenue accounting.

Nimesikitishwa na yeye kuamua kuitupilia mbali logo yetu ya zamani ya Air Tanzania:


Na kutuletea logo mpya iliyokuwa designed na wakenya ambayo inafanana na ile ya Kenya Airways.
ATCL_Logo.PNG


KenyaAirways2.gif


Hivi tumeishiwa creativity kabisa na tumeamua kuwa copycats?

Naomba mchango wenu kabla ya kumuandikia CEO rasmi kumuomba alifikirie hili.

Mzee kwani walitumia vigezo gani kuweka hii nembo mpya kama unafahamu?
 
Nadhani mnajua yaliyotokea mpaka MUUUNGWANA aliposhauriwa AMCHUKUE MATAKA badala ya yule qualified aliyepo USA

Binafsi sijui yaliyotokea lakini nimesononeshwa sana na hili la huyu mtu kupigwa changa la macho na wakenya...hii logo inatu"reduce" to copycats.
We need to have our original logo or the original logo slightly modified to have our own identity.
Hili duara na andishi lenye kimkia linafanana sana na KQ, yaani linasikitisha. We need to be proud of our National Carrier sio kuwa copycats wa jirani zetu au ndio EA harmonization imeanza?
 
Wandugu, Wajameni,

Nimeongelea mengi katika mazuri yanayofanywa na serikali yetu likiwa pamoja na lile la serikali kuisaidia Air Tanzania.

Nilifurahishwa pale CEO huyu mpya, David Mattaka, alipotangaza mipango ya ndege mpya pamoja na uamuzi wake wa kutumia Mercator service kwa ajili ya Revenue accounting.

Nimesikitishwa na yeye kuamua kuitupilia mbali logo yetu ya zamani ya Air Tanzania:


Na kutuletea logo mpya iliyokuwa designed na wakenya ambayo inafanana na ile ya Kenya Airways.
ATCL_Logo.PNG


KenyaAirways2.gif


Hivi tumeishiwa creativity kabisa na tumeamua kuwa copycats?

Naomba mchango wenu kabla ya kumuandikia CEO rasmi kumuomba alifikirie hili.

Inatakiwa waweke tu hayo maneno madogo ya "Wings of Kilimanjaro hapo chini ya T kubwa basi. Ni logo nzuri na ya kujitosheleza kabisa.
 
Game Theory,
I'm missing something. Can you elaborate? I heard some conspiracy concern Matakka while he was NSSF.
 
kama mtanzania unaweza kuwa proud na hii logo? ukiulizwa A inamaanisha nini? utajibu nini?

wenzetu wa Kenya wameitilia mkazo K ( ndio maana wakaiweka kwenye cirlce) sie tumeiwekea mkazo A, ikimaanisha AIR?? kweli watanzania hatuna uwezo wa kuona mbali!!!
 
Binafsi sijui yaliyotokea lakini nimesononeshwa sana na hili la huyu mtu kupigwa changa la macho na wakenya...hii logo inatu"reduce" to copycats.
We need to have our original logo or the original logo slightly modified to have our own identity.
Hili duara na andishi lenye kimkia linafanana sana na KQ, yaani linasikitisha. We need to be proud of our National Carrier sio kuwa copycats wa jirani zetu au ndio EA harmonization imeanza?


Hakika ile logo tumeiga bila kujua maana kwani wenzetu Wakenya ile K ina maana ya Kenya je sisi ile A inamaanisha nini?
 
Aisee hebu angalieni vizuri,,, du naiona kwa mbali kama T vile,,, sijui... angalieni tena!!!
 
Kuna t ndogo na mfano wa kilele cha mlima kilimanjaro juu ya hiyo At lol...
 
Hio duara haina maana "A" inatiliwa mkazo kama "K" kwenye logo ya Kenya Airways.Hio duara ina maana yake katika aviation industry,either ina maanisha kuwa ni international carrier or something else of the same sort.Ila mimi similarity iko zaidi kwenye mkia wa hio 'a' kama vile ulivyo wa 'k'
 
Kwani hii tenda ya Logo ilitoka kwa uwazi au? na Logo zingine zilizokuwa Presented Zikoje?
Au ndio Njaa ya Siku Nyingi ya Huyo CEO mpya inampeleka kwa kasi namna hiyo?
Maana nasikia tunataka kukodisha ndege 7 au tumekodisha ndege 7 na vijana kwa wazee wapo trainning.
Si angeanza na mbili unaangalia Biashara inaendaje, then unaongezea kutokana na mahitaji.
sasa ndio itakuja yale yale ya atc iliyopita marubani na air hostess kibao ndege mbili au abiria wawili
 
Back
Top Bottom