Papaa Kinyani
JF-Expert Member
- Feb 25, 2013
- 1,459
- 697
Ndg wanajf ambao ni mafundi, gari yangu toyota vitz jana ghafla tuu nikaona taa ya airbag ikiwaka kwa ku-flash. Je nn madhara yake kwenye gari? Na matengenezo yake ni nn? Gharama? Mwenye ufahamu aje PM please.