Mwezi wa nne nilitokea sheli sheli kupitia Nairobi, wakati nafika hapa sanduku langu likawa halina mkanda niliokuwa nikiutumia kulikazia. Nilipofika nyumbani nilikuta sanduku limepekuliwa ile mbaya. Jana nimetokea hapo hapo Nairobi kuja hapa, sanduku langu wamelivunja na kuliharibu kabisa. Lakini nikitumia ndege za kufika dar bila kutua Nairobi mizigo yangu inafika salama.