Aina za Wapenzi Hatari kwenye mahusiano

AINA ZA WAPENZI HATARI KWENYE MAHUSIANO...

1: Mpenzi mtangazaji--> Kila mnacho fanya yeye anaenda kusema kwa marafiki/ndugu/mitandaoni.

2: Mpenzi mtazamaji: Hana afanyalo, hana future, yupo yupo tu kazi yake ye kutazama na kusimulia ya wenzie wala yake hayawazii.

3: Mpenzi msikilizaji: Chochote watakachosema marafiki zake, yeye anafata. Lolote atakalo lisikia yeye anakuja kukuhukumu hata kama hana uhakika.

4: Mpenzi gogo: Hana jipya kwenye bed, unashughulika wewe tu, yeye kazi yake kutoa miguno tu wala hakupi hamasa ya kufika kileleni. Hamna chochote kile anachofanya kwako, hashughuliki na lolote lile litakalo kupa furaha.

5: Mpenzi jini: Haku tafuti hadi akiwa na shida zake, zako wala hana mpango nazo. Anapenda umtimizie kila atakacho, tena ukishamtimizia hana mpango tena na wewe.

6: Mpenzi fisadi: chumaulete, muhujumu uchumi, anakugeuza kama kitega uchumi. Akitaka hata kwenda choon utasikia ''Baby naomba hela ya maji ya kutawazia''. Una muhudumia kila kitu lakin bado hana shukran kama tumbo la Kazora. Hana mawazo chanya, hawazi maendeleo, hata pesa uliyotunza kwaajili ya biashara utakuta kaitumbua yote. Unayajua majukum yako lakini yeye halitambui hilo.

7: Mpenzi pasua kichwa; Yeye ni wa kukupa stress tu, hana muda wa kukuliwaza wala kukudekeza, ukirudi home salamu "Umeniletea dera langu"??? Ndani kelele tu, yani ana gubu mpaka kero.
Pia mpenzi msaliti
 
AINA ZA WAPENZI HATARI KWENYE MAHUSIANO...

1: Mpenzi mtangazaji--> Kila mnacho fanya yeye anaenda kusema kwa marafiki/ndugu/mitandaoni.

2: Mpenzi mtazamaji: Hana afanyalo, hana future, yupo yupo tu kazi yake ye kutazama na kusimulia ya wenzie wala yake hayawazii.

3: Mpenzi msikilizaji: Chochote watakachosema marafiki zake, yeye anafata. Lolote atakalo lisikia yeye anakuja kukuhukumu hata kama hana uhakika.

4: Mpenzi gogo🔞: Hana jipya kwenye bed, unashughulika wewe tu, yeye kazi yake kutoa miguno tu wala hakupi hamasa ya kufika kileleni. Hamna chochote kile anachofanya kwako, hashughuliki na lolote lile litakalo kupa furaha.

5: Mpenzi jini: Haku tafuti hadi akiwa na shida zake, zako wala hana mpango nazo. Anapenda umtimizie kila atakacho, tena ukishamtimizia hana mpango tena na wewe.

6: Mpenzi fisadi: chumaulete, muhujumu uchumi, anakugeuza kama kitega uchumi. Akitaka hata kwenda choon utasikia ''Baby naomba hela ya maji ya kutawazia''. Una muhudumia kila kitu lakin bado hana shukran kama tumbo la Kazora. Hana mawazo chanya, hawazi maendeleo, hata pesa uliyotunza kwaajili ya biashara utakuta kaitumbua yote. Unayajua majukum yako lakini yeye halitambui hilo.

7: Mpenzi pasua kichwa; Yeye ni wa kukupa stress tu, hana muda wa kukuliwaza wala kukudekeza, ukirudi home salamu "Umeniletea dera langu"??? Ndani kelele tu, yani ana gubu mpaka kero.
tuletee na wa faida ili tujue tofauti

asante mkuu nasubiri
 
Mpenzi mchomamoto: huyu yeye hana kosa kubwa wala dogo lolote utakalomfanyia kwake kubwa na hukumu yake ni moja kukushushia jahanamu ukiwa hapa duniani hope mshawashuhudia aina hii wiki kadhaa hapo nyuma
🤣🤣🤣 Kweli kabisa nao wapo
 
Si afadhali hao hapo juu!! Umewahi kuyana na mupenzi wa morogoro??? Yaani yule anatamani akutoe sadaka kwa misukule ya kwao....

Mpenzi jackie marere huyu bana yeye anakutafutia majambazi kabisaa eitha wakufanye nyuma au ufe.upotee!! Amesha achwa mara kibao na hsoni taabu kiolewa tena..
na huyu jamaa yake wa sasa sijui km atapona...au tayari make. Simuoni
 
5,6,7 hao ndio wapenzi waliotuzunguka sana mtaani! Katika watu 100 hapa jf watu 80 likely wapenzi wao wanaangukia kwenye hizo namna 3 kuu!
 
Si afadhali hao hapo juu!! Umewahi kuyana na mupenzi wa morogoro??? Yaani yule anatamani akutoe sadaka kwa misukule ya kwao....

Mpenzi jackie marere huyu bana yeye anakutafutia majambazi kabisaa eitha wakufanye nyuma au ufe.upotee!! Amesha achwa mara kibao na hsoni taabu kiolewa tena..
na huyu jamaa yake wa sasa sijui km atapona...au tayari make. Simuoni
Dah hatari sana.
 
Hii number saba ni wewe mwenyewe una mfikiria vibaya wengine wako ivo ivo tu!!
Unataka mtu awe km unavotaka no!!! wewe ndo mwenye gubu... Kwa nini usimfundishe
 
1629892400734.png

Huyo namba saba ni mimi
 
Hii number saba ni wewe mwenyewe una mfikiria vibaya wengine wako ivo ivo tu!!
Unataka mtu awe km unavotaka no!!! wewe ndo mwenye gubu... Kwa nini usimfundishe
Dah mimi tena ndo nipo hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom