Pia mpenzi msalitiAINA ZA WAPENZI HATARI KWENYE MAHUSIANO...
1: Mpenzi mtangazaji--> Kila mnacho fanya yeye anaenda kusema kwa marafiki/ndugu/mitandaoni.
2: Mpenzi mtazamaji: Hana afanyalo, hana future, yupo yupo tu kazi yake ye kutazama na kusimulia ya wenzie wala yake hayawazii.
3: Mpenzi msikilizaji: Chochote watakachosema marafiki zake, yeye anafata. Lolote atakalo lisikia yeye anakuja kukuhukumu hata kama hana uhakika.
4: Mpenzi gogo: Hana jipya kwenye bed, unashughulika wewe tu, yeye kazi yake kutoa miguno tu wala hakupi hamasa ya kufika kileleni. Hamna chochote kile anachofanya kwako, hashughuliki na lolote lile litakalo kupa furaha.
5: Mpenzi jini: Haku tafuti hadi akiwa na shida zake, zako wala hana mpango nazo. Anapenda umtimizie kila atakacho, tena ukishamtimizia hana mpango tena na wewe.
6: Mpenzi fisadi: chumaulete, muhujumu uchumi, anakugeuza kama kitega uchumi. Akitaka hata kwenda choon utasikia ''Baby naomba hela ya maji ya kutawazia''. Una muhudumia kila kitu lakin bado hana shukran kama tumbo la Kazora. Hana mawazo chanya, hawazi maendeleo, hata pesa uliyotunza kwaajili ya biashara utakuta kaitumbua yote. Unayajua majukum yako lakini yeye halitambui hilo.
7: Mpenzi pasua kichwa; Yeye ni wa kukupa stress tu, hana muda wa kukuliwaza wala kukudekeza, ukirudi home salamu "Umeniletea dera langu"??? Ndani kelele tu, yani ana gubu mpaka kero.
tuletee na wa faida ili tujue tofautiAINA ZA WAPENZI HATARI KWENYE MAHUSIANO...
1: Mpenzi mtangazaji--> Kila mnacho fanya yeye anaenda kusema kwa marafiki/ndugu/mitandaoni.
2: Mpenzi mtazamaji: Hana afanyalo, hana future, yupo yupo tu kazi yake ye kutazama na kusimulia ya wenzie wala yake hayawazii.
3: Mpenzi msikilizaji: Chochote watakachosema marafiki zake, yeye anafata. Lolote atakalo lisikia yeye anakuja kukuhukumu hata kama hana uhakika.
4: Mpenzi gogo🔞: Hana jipya kwenye bed, unashughulika wewe tu, yeye kazi yake kutoa miguno tu wala hakupi hamasa ya kufika kileleni. Hamna chochote kile anachofanya kwako, hashughuliki na lolote lile litakalo kupa furaha.
5: Mpenzi jini: Haku tafuti hadi akiwa na shida zake, zako wala hana mpango nazo. Anapenda umtimizie kila atakacho, tena ukishamtimizia hana mpango tena na wewe.
6: Mpenzi fisadi: chumaulete, muhujumu uchumi, anakugeuza kama kitega uchumi. Akitaka hata kwenda choon utasikia ''Baby naomba hela ya maji ya kutawazia''. Una muhudumia kila kitu lakin bado hana shukran kama tumbo la Kazora. Hana mawazo chanya, hawazi maendeleo, hata pesa uliyotunza kwaajili ya biashara utakuta kaitumbua yote. Unayajua majukum yako lakini yeye halitambui hilo.
7: Mpenzi pasua kichwa; Yeye ni wa kukupa stress tu, hana muda wa kukuliwaza wala kukudekeza, ukirudi home salamu "Umeniletea dera langu"??? Ndani kelele tu, yani ana gubu mpaka kero.
Hahahahah mpenzi ambaye hana time na wewe kama hamna namna atapata chochote kitu kwako?Tena hao kwa sasa ndo wapo sokoni wengi.
Dah hatari sana.Si afadhali hao hapo juu!! Umewahi kuyana na mupenzi wa morogoro??? Yaani yule anatamani akutoe sadaka kwa misukule ya kwao....
Mpenzi jackie marere huyu bana yeye anakutafutia majambazi kabisaa eitha wakufanye nyuma au ufe.upotee!! Amesha achwa mara kibao na hsoni taabu kiolewa tena..
na huyu jamaa yake wa sasa sijui km atapona...au tayari make. Simuoni
haswaaaaa lkn km ukitaka iwe kazi itakuwa...Kumbe JF tunakazi kweli kweli