Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,029
- 173,693
Rais anatakiwa “Mlevi” au mie ndio sijala mchicha vizuriUmasikini wa nchi yetu na watu wetu unaanzia kwenye roho za watawala.
Imagine, unakuta mtu ni Rais ambaye kwa kawaida anatakiwa mlevi na kuhakikisha kila mtu anafanikiwa, lakini anakuwa wivu kupindukia na hataki kuona mafanikio ya mtu.