Livingson1
Member
- Jul 13, 2021
- 30
- 26
1. ufugaji wa kuku. Ufugaji wa kuku wa kienyeji ama kuku wa kisasa. Faida zake zinatokana na uuzaji wa mayai, nyama ya kuku, kuku wenyewe, vifaranga, mbolea n.k
_ Ndege wengine wenye faida kama za kuku ni kanga, bata wa aina tofauti, njiwa, kware n.k
2. Ufugaji wa mbuzi. Mbuzi faida zake zinakuja kwenye nyama, maziwa, mbolea,pembe na kwato huzalisha gundi,
_pia unaweza fuga kondoo ama ngombe
3. Ufugaji wa sungura. Faida za sungura hazitofautiani na faida za mbuzi lakini sungura huzaa watoto wengi na ni rahisi kumfuga kwenye eneo dogo
_Mkojo wa sungura ni mzuri sana kwa mbolea
4. Ufugaji wa ngurue. Hii ndio biashara inayochipukia kwa sasa. Pia ngurue huzaa watoto wengi kwa mpigo, faida zake nyingine ni kama zile za mbuzi
5. Ufugaji wa nyuki. Ufugaji wa nyuki ni mrahisi tu ukiwa na eneo la kutosha faida za nyuki ni asali hii hutumika kama kiungo kwenye vyakula lakini pia hutumika kama dawa na hata kuoshea vidonda kwa watu wenye ugonjwa wa sukari, uchavushaji ni faida nyingine kubwa ya nyuki, masega ya nyuki hutumika kutengenezea mishumaa
6. Ufugaji wa samaki. Samaki wana source kubwa ya protein ambayo hutumika kwa ukuaji, mafuta ya samaki pia watu wanasema ni dawa, lakini pia kipato kutokana na samaki, kuna samaki wa mapambo pia
7 ufugaji wa mbwa. Kufuga mbwa kama biashara tutajipatia kipato lakini pia mbwa hutumika kwa ulinzi nyumbani
8.kilimo cha mazao tofauti kwaajili ya chakula na biashara hii ni njia nyingine ya kujipatia kipato
_ Ndege wengine wenye faida kama za kuku ni kanga, bata wa aina tofauti, njiwa, kware n.k
2. Ufugaji wa mbuzi. Mbuzi faida zake zinakuja kwenye nyama, maziwa, mbolea,pembe na kwato huzalisha gundi,
_pia unaweza fuga kondoo ama ngombe
3. Ufugaji wa sungura. Faida za sungura hazitofautiani na faida za mbuzi lakini sungura huzaa watoto wengi na ni rahisi kumfuga kwenye eneo dogo
_Mkojo wa sungura ni mzuri sana kwa mbolea
4. Ufugaji wa ngurue. Hii ndio biashara inayochipukia kwa sasa. Pia ngurue huzaa watoto wengi kwa mpigo, faida zake nyingine ni kama zile za mbuzi
5. Ufugaji wa nyuki. Ufugaji wa nyuki ni mrahisi tu ukiwa na eneo la kutosha faida za nyuki ni asali hii hutumika kama kiungo kwenye vyakula lakini pia hutumika kama dawa na hata kuoshea vidonda kwa watu wenye ugonjwa wa sukari, uchavushaji ni faida nyingine kubwa ya nyuki, masega ya nyuki hutumika kutengenezea mishumaa
6. Ufugaji wa samaki. Samaki wana source kubwa ya protein ambayo hutumika kwa ukuaji, mafuta ya samaki pia watu wanasema ni dawa, lakini pia kipato kutokana na samaki, kuna samaki wa mapambo pia
7 ufugaji wa mbwa. Kufuga mbwa kama biashara tutajipatia kipato lakini pia mbwa hutumika kwa ulinzi nyumbani
8.kilimo cha mazao tofauti kwaajili ya chakula na biashara hii ni njia nyingine ya kujipatia kipato