MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,198
- 1,226
kuna haina nyingi za sumu ambazo madaktari hawawezi kuzifahamu kilahisi, hata vipimo vyao haviwezi gundua.
1. Mjusi wa majumbani ule mweupe unaokula wadudu na unakaa karibu na taa, ukiuliwa ukakaushwa mtu akiwekewa kwenye maji au juice ni sumu mbaya ambayo inaua kwa miezi mitatu, inaingia kwenye uboho na kuanza kutafuna mifupa. Dalili mifupa itaanza kutoboka, kuvimba matezi, kuwa mwehu, kubabuka ngozi, upele na ukurutu.
2. Aina nyingine mbaya kuliko zote ni ya Damu ya kina mama wakiwa kwenye ezi, ile damu ya kwanza nzito sana ikikaushwa na kutiwa kwenye chai, juice, hiyo ulegea kabisa ndani ya mwezi mmoja, ukisalimika hata miezi miwili, hii uonyesha dalili zote za ukimwi. Hata uende upimwe wapi hawawezi kuona kitu.
3. Nyingine ni ya chura wale wakubwa sumu hii ukaa kwenye kimfuko fulani nayo hii ikikaushawa hakuna mganga wa kuilewa.
Ukitaka kujua aina ya sumu na madhara yake waulize WAKELEWE au WAZINZA.
Mwisho nahisia kuwa Mwakye huenda kapewa haian hiyo ya sumu maana waliotekeleza mipango hiyo walienda kwa mganga kule serous game kama ilivyoelezwa kwenye gazeti la Mwanaharisi la Mweziwa 2 mwaka 2011
ukitaka Sumu hiyo isikudhuru inabidi utafute mkojo wa mwendawazimu uuvundike siku mbili kisha kunywa.....ukiwekewa sumu hizo basi chombo ulichowekewa kitaanguka kabla hujakifikisha mdomoni......