AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,536
- 4,513
Kabla ya Ndoa kuna aina mbili:-
1. ANAYETAKA TU ILE SHEREHE IONEKANE NA IJULIKANE NA YEYE KAOLEWA.(Aina hii ni ya hatari), hawa ndio ndoa zao hazizidi mwaka zinakuwa zimevunjia, kwa sababu lengo la msingi limeshatimia, so whats waiting next then?
2. WANAYOITAKA ZAIDI HIYO NDOA.(afadhali ya hawa wana nia na hiyo ndoa), wako tayari hata bila sherehe hata kimya kimya mradi ajistiri apate heshima yake kuwa na nyumba yake. Atleast hawa huheshimu ndoa zao.
Sasa katika kundi hili la pili, ndani yake wapo wa aina mbili, ambao ni;-
a) WANAOITAKA ZAIDI NDOA NA MATOKEO YAKE. Hawa huipenda zaidi ndoa yao na kile kitakachotokana na ndoa zaidi ni mtoto, huwapenda na kuwajali sana watoto wao kiasi kwamba hatojali sana hata kama akiachwa lakini haina shida...ana mtoto.
b) ANAITAKA NDOA NA MWENYE NDOA. Kundi hili ni adimu sana, si rahisi katika kumi umpate hata mmoja...labda katika 100 umpate mmoja...hawa huitaka ndoa na Mume zaidi hupendwa...yeye mume kwake ni bora zaidi kuliko kitu chochote kile..na hawa ndio hata kama ana mtoto/watoto kwake mume first anapokuwepo.
SWALI:
KATIKA HAO WOTE WEWE MDADA UNAJIWEKA KUNDI GANI...?
NA JE KATIKA HAO MAKUNDI HAYO NI YUPI ATAIFURAHIA ZAIDI NDOA YAKE.
1. ANAYETAKA TU ILE SHEREHE IONEKANE NA IJULIKANE NA YEYE KAOLEWA.(Aina hii ni ya hatari), hawa ndio ndoa zao hazizidi mwaka zinakuwa zimevunjia, kwa sababu lengo la msingi limeshatimia, so whats waiting next then?
2. WANAYOITAKA ZAIDI HIYO NDOA.(afadhali ya hawa wana nia na hiyo ndoa), wako tayari hata bila sherehe hata kimya kimya mradi ajistiri apate heshima yake kuwa na nyumba yake. Atleast hawa huheshimu ndoa zao.
Sasa katika kundi hili la pili, ndani yake wapo wa aina mbili, ambao ni;-
a) WANAOITAKA ZAIDI NDOA NA MATOKEO YAKE. Hawa huipenda zaidi ndoa yao na kile kitakachotokana na ndoa zaidi ni mtoto, huwapenda na kuwajali sana watoto wao kiasi kwamba hatojali sana hata kama akiachwa lakini haina shida...ana mtoto.
b) ANAITAKA NDOA NA MWENYE NDOA. Kundi hili ni adimu sana, si rahisi katika kumi umpate hata mmoja...labda katika 100 umpate mmoja...hawa huitaka ndoa na Mume zaidi hupendwa...yeye mume kwake ni bora zaidi kuliko kitu chochote kile..na hawa ndio hata kama ana mtoto/watoto kwake mume first anapokuwepo.
SWALI:
KATIKA HAO WOTE WEWE MDADA UNAJIWEKA KUNDI GANI...?
NA JE KATIKA HAO MAKUNDI HAYO NI YUPI ATAIFURAHIA ZAIDI NDOA YAKE.