Stiffler88
Senior Member
- Apr 23, 2017
- 158
- 490
sio kweli, siamini sana kwenye kulalamika ndo maana.Naona yamekuuma jitahd kubadilika aisee ,tunawavumilia ndio lakin mjitahid kujibidisha
sio kweli, siamini sana kwenye kulalamika ndo maana.Naona yamekuuma jitahd kubadilika aisee ,tunawavumilia ndio lakin mjitahid kujibidisha
sio kweli, siamini sana kwenye kulalamika ndo maana.
basi mkitusema mnaona mmetuwezaaaaaa hahah hahah, "wanaojifanya", "wanaojiona" kama huko sio kulalamika sijui kingine ni kipilakini mtoa mada hajalalamika !ameainisha tu wanaume ambao hatuwapend mnajifanya makings !ukweli mchungu
basi mkitusema mnaona mmetuwezaaaaaa hahah hahah, "wanaojifanya", "wanaojiona" kama huko sio kulalamika sijui kingine ni kipi
dahh your one tough woman, i like challenge, now your speaking as a grow up woman. yeah muwe mnasema. Sio kwamba hatupendi kuambiwa, ila ukiniambia hayo mabaya yangu usisahau na mazuri yangu pia along the way, yaani ilo baya moja halifuti mazuri yangu ya nyuma, hata ivo kupishana ni kawaida kwenye mahusiano, labda wote watakatifu. so unasema naskia linapitaahha kwahyo hupend kuambiwa usifanye hili na hili ? yaan tukae kimya tu !hv kuna raha gan kuishi na mwanaume ambaye hata kubadilisha bulb tu hawezi anakuambia amechoka !nisiseme na hili ! ati utajirekebisha tu mara sijui malezi!alafu ukute wewe ndo mrefu hapo hom wengne short chasis
dahh your one tough woman, i like challenge, now your speaking as a grow up woman. yeah muwe mnasema. Sio kwamba hatupendi kuambiwa, ila ukiniambia hayo mabaya yangu usisahau na mazuri yangu pia along the way, yaani ilo baya moja halifuti mazuri yangu ya nyuma, hata ivo kupishana ni kawaida kwenye mahusiano, labda wote watakatifu. so unasema naskia linapita