Aina ya nondo kwenye umwagaji wa lenta pamoja na nguzo

Dodoma moja

JF-Expert Member
Jan 3, 2014
307
177
Wakuu habarini za kazi, poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa
Naombeni msaada kuhusu aina ya ndondo za kutumia kwenye ufungaji wa lenta, nyumba yangu ni kubwa vyumba vitatu, sitting room, dinning room, public toilet, jiko, stoo
Kuna baadhi ya wadau walinishauri niweke mm12 mzunguko wa nje na mm10 mzunguko wa ndani pia kwenye nguzo nisuke tatu (sambusa) mm12 au nne mm10
Naombeni ushauri wenu natambua wapo wazoefu wa masuala ya ujenzi
Asanteni
 
Suala la aina na ukubwa wa nondo ni suala la kitaalamu (structural engineer huwa anafanya mahesabu yake) na hakuna jibu moja kwa cases zote. Kuna mambo mengi tu yanaweza kuhitaji kuzingatiwa hasa kiasi cha mzigo (tensile forces).

But huku "mtaani", wanaojenga bila kutumia wataalamu wengi hutumia 12mm tu (square au sambusa zaidi kutegemeana na pesa ulionayokuliko utaalamu).
 
Wakuu habarini za kazi, poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa
Naombeni msaada kuhusu aina ya ndondo za kutumia kwenye ufungaji wa lenta, nyumba yangu ni kubwa vyumba vitatu, sitting room, dinning room, public toilet, jiko, stoo
Kuna baadhi ya wadau walinishauri niweke mm12 mzunguko wa nje na mm10 mzunguko wa ndani pia kwenye nguzo nisuke tatu (sambusa) mm12 au nne mm10
Naombeni ushauri wenu natambua wapo wazoefu wa masuala ya ujenzi
Asanteni
Weka mm 12 kwenye renta suka tatu tatu! Kwenye nguzo weka mm 10 suka nne nne.
 
Kwanini hiyo nyumba unayojenga haina ramani au fundi unayemtumia hajui namna ya kuaoma ramani. Maana ninavyojua details house plan inakua na hizo taarifa zote
 
Back
Top Bottom