Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,492
- 8,537
Ni matumizi mabaya ya akili na fedha za umma kujenga mji wa serikali - makao makuu ya serikali na ofisi zote za Wizara na idara muhimu ukazilundika sehemu moja!
Huko tuendako tutakuja jutia haya maamuzi...
Huko tuendako tutakuja jutia haya maamuzi...