msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,879
Habarini wajameni,
Kumekuwa na ujambazi mpya siku hizi watu hawaji kuvamia wala nini, jirani zangu wawili wameibiwa kwa staili hiyo, wamekuja jamaa wameshika radio call wanajidai wanaongea "helooo huyo jamaa msimtoe mpaka nirudi mwacheni leo alale ndani" tukajua labda huyu jamaa ni polisi wakaulizia nyumba ya flani iko wapi wakaelekezwa wakaenda wamekaa ndani weee baada ya nusu saa wakatoka wamebeba begi wakaondoka.
Baada ya nusu saa watu wanasikia kelele kwenye nyumba ambayo hao wanaojifanya mapolisi wametoka.
Watu kwenda wanakuta wenye nyumba wamefungwa kamba jamaa wamebeba laptop, simu, tv na fedha hiyo ilikuwa saa tatu za asubuhi.
KUWA MAKINI CHUKUA TAHADHARI
Kumekuwa na ujambazi mpya siku hizi watu hawaji kuvamia wala nini, jirani zangu wawili wameibiwa kwa staili hiyo, wamekuja jamaa wameshika radio call wanajidai wanaongea "helooo huyo jamaa msimtoe mpaka nirudi mwacheni leo alale ndani" tukajua labda huyu jamaa ni polisi wakaulizia nyumba ya flani iko wapi wakaelekezwa wakaenda wamekaa ndani weee baada ya nusu saa wakatoka wamebeba begi wakaondoka.
Baada ya nusu saa watu wanasikia kelele kwenye nyumba ambayo hao wanaojifanya mapolisi wametoka.
Watu kwenda wanakuta wenye nyumba wamefungwa kamba jamaa wamebeba laptop, simu, tv na fedha hiyo ilikuwa saa tatu za asubuhi.
KUWA MAKINI CHUKUA TAHADHARI