Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,499
- 70,300
Kuna aina mbili za wezi katika kila Jamii.
1. Mwizi wa Kawaida
2. Mwizi wa Kisiasa
Mwizi wa kawaida huiba vifuatavyo Pesa, mkoba, saa ya dhahabu n.k.
Lakini, mwizi wa kisiasa huiba future yako, career yako, elimu yako, afya yako, biashara n.k.
Kinachochekesha zaidi ni kuwa mwizi wa kawaida huchagua amuibie nani lakini wewe mwenyewe ndio unamchagua mwizi wa kisiasa ili akuibie.
Lakini cha ajabu zaidi ni kwamba polisi watafanya juu chini kumkamata na kumfunga mwizi wa kawaida lakini polisi hao hao wanamlinda mwizi wa kisiasa.
Huo ndio unafki wa jamii yetu ya sasa. Na tunasema kuwa sisi sio vipofu katika upofu wetu wa akili.
Na upumbavu mkubwa zaidi ni kuwa tunapambana sana na kuua mwizi wa kawaida lakini wakati huo huo tunapambana, kutukanana na kuuana sisi kwa sisi kwasababu ya mwizi huyu wa kisiasa (refer Team Lumumba vs Team Ufipa).
Take it or leave it. That is my take.
😎😎😎😎🙄🙄🙄🙄🙄
Imenakiliwa.
1. Mwizi wa Kawaida
2. Mwizi wa Kisiasa
Mwizi wa kawaida huiba vifuatavyo Pesa, mkoba, saa ya dhahabu n.k.
Lakini, mwizi wa kisiasa huiba future yako, career yako, elimu yako, afya yako, biashara n.k.
Kinachochekesha zaidi ni kuwa mwizi wa kawaida huchagua amuibie nani lakini wewe mwenyewe ndio unamchagua mwizi wa kisiasa ili akuibie.
Lakini cha ajabu zaidi ni kwamba polisi watafanya juu chini kumkamata na kumfunga mwizi wa kawaida lakini polisi hao hao wanamlinda mwizi wa kisiasa.
Huo ndio unafki wa jamii yetu ya sasa. Na tunasema kuwa sisi sio vipofu katika upofu wetu wa akili.
Na upumbavu mkubwa zaidi ni kuwa tunapambana sana na kuua mwizi wa kawaida lakini wakati huo huo tunapambana, kutukanana na kuuana sisi kwa sisi kwasababu ya mwizi huyu wa kisiasa (refer Team Lumumba vs Team Ufipa).
Take it or leave it. That is my take.
😎😎😎😎🙄🙄🙄🙄🙄
Imenakiliwa.