Aina hii ya Uongozi, Siasa na Amri Kitaalam inaitwaje?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Bwana Gelasius Byakanwa atoa mwezi 1 kila mwananchi mkoani humo ahakikishe anamiliki shamba la Mikorosho, vinginevyo serikali itawachukulia hatua za kisheria.

Taarifa: ITVTanzania
 
Back
Top Bottom