Mashamba utapata, bei huwa ni Kati ya 250-300 kwa hela ikiwa na mashine ya kumwagiliaKaka naitaji kulima VIP uwezekano wa kupata shamba hapo ruaha mbuyun na bei zake
Mashamba utapata, bei huwa ni Kati ya 250-300 kwa hela ikiwa na mashine ya kumwagiliaKaka naitaji kulima VIP uwezekano wa kupata shamba hapo ruaha mbuyun na bei zake
Sasa mkuu hapa Nina mtaji butu nazan sntoweza kuhimili gharama za kilimo cha nyanya hususan katika kipindi cha masika pana gharam sana, sasa kam unaweza ukaniunganisha na mdau ambaye yupo na mtaji tuunganishe nguvu, Mimi nitumie na nguvu kazi yangu na hiki kiasi cha mtaji nilichonacho tupige kaziMashamba utapata, bei huwa ni Kati ya 250-300 kwa hela ikiwa na mashine ya kumwagilia
Kukuunganisha ngumu sababu Mimi pia Siko huko kimakazi, vema ukaenda pale ukajiekea siku kadhaa ukaonaSasa mkuu hapa Nina mtaji butu nazan sntoweza kuhimili gharama za kilimo cha nyanya hususan katika kipindi cha masika pana gharam sana, sasa kam unaweza ukaniunganisha na mdau ambaye yupo na mtaji tuunganishe nguvu, Mimi nitumie na nguvu kazi yangu na hiki kiasi cha mtaji nilichonacho tupige kazi
Nadhani machaguzi ya mbegu yanategemea na unapolima mkuu, mimi nimelima imara f1 pande za Ruaha Mbuyuni, dawa za ukungu zipo ni huduma tu unatoboa
YesNunua BAWITO F1 au Terminator
Swali nzuri,majibu tafadhali,I'm anxiously waiting to hear!Punje elfu moja unaweza Lima eneo lenye ukubwa kiasi gan
Inategemeana na vitu vifuatavyo MkuuSwali nzuri,majibu tafadhali,I'm anxiously waiting to hear!