Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,957
- 93,937
Maisha ni bahari kubwa mkuu, wakati mwingine unapanda jahazi la kukupeleka mbali hata usiweze kuwa na mtandao au ukatindikiwa na mishughuliko...
Hata hivyo huwa napita nipatapo wasaa
Hata hivyo huwa napita nipatapo wasaa
Watu8 Ila mkuu ulopotea sana kulikoni wakati wewe ndio ulinikaribisha humu? Au majukumu yalibana?
"ᴬᵐᵇⁱᵗⁱᵒⁿ ᶜᵃⁿ ᵇᵉ ᵃ ᵛⁱʳᵗᵘᵉ ʷʰᵉⁿ ⁱᵗ ᵈʳⁱᵛᵉˢ ᵘˢ ᵗᵒ ᵉˣᶜᵉˡˡ"